Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau nimeambiwa ni Chuo kizuri mwalimu akitoka pale anauzika sokoni ila sijapata maelezo kutoka kwa mtu mwingine ili nifanye maamuzi ya kumpeleka mwanangu pale akasomee ualimu wa chekechea.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Hello! Tafadhali naomba naomba wale wote wenye maswali kuhusu research proposal, dissertations, data analysis, SPSS na mengine yoote yanayohusu academic research uliza hapa! Pia maswali...
6 Reactions
106 Replies
12K Views
Umri wa Osaka ni 1/5 ya umri wa baba yake.Miaka 8 ijayo umri wa Osaka utakuwa 1/3 ya umri wa baba yake.tafuta umri wa baba wa sasa.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Ni vyuo vipi vyenye diploma ya clinical medicine vinatoa huduma ya hostel na chakula?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habarini ndugu zangu, mimi ni kijana mwenzenu mpenda maendeleo, napenda kujiajili. Lakini Leo nimekuja hapa kuwauliza ni maana ya CAPITAL (MTAJI). Naombeni majibu tafadhari kadri unavyo elewa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ada ipo roho tu inanisumbua ya kutokwenda shule na sielewi kwanini nina uwezo mzuri tu darasani na siwezi biashara tegemeo langu ni shule tu. hii roho nifanyeje isitawale akili yangu siitaki...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naanza Mimi, Zidisha mamba yoyote yenye tarakimu 3 mara 999 Kwa sekunde tano tu. Mfano 526 x 999 jibu ni 525,474 Soln 526 toa 1 jibu ni 525 (tumeanza kupata jibu, iandike chini kushoto) Toa 526...
3 Reactions
5 Replies
940 Views
Salamu wote. Mwalimu wa sekondari aliye Dsm, Kibaha au Bagamoyo anayetaka kuhamia jiji la Mwanza (Nyamagana) tuwasiliane: 0756 808875
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wanajamvi naamini nyote ni wazima. Nina Imani wewe unayesoma habari hii umeshapita darasani ama ni mwanafunzi kwa Sasa. Lengo la kuandika habari hii sio kwamba ni kuwakatisha tamaa...
6 Reactions
106 Replies
9K Views
Habari zenu wana jamii. Natumai afya zenu ni salama. Ninaomba msaada wenu wa mawazo na ushauri juu ya hili swala nililoliona kama ni changamoto iwakumbao makampuni mengi apa nchini kutokana na...
0 Reactions
0 Replies
652 Views
PHOTO ENTRY KWA SHILINGI 500/= TSHS KWA PICHA Tunafanya photo entry kwa wote watakaohitaji huduma yetu, tutamaliza ndani ya dakika 10. VITU MUHIMU VYA KUWA NAVYO NI picha za wanafunzi wako...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Poleni na majukumu katika ujenzi wa taifa. Nina mdogo wangu wa kike kamaliza form four 2019 na matokeo yake yako kama ifuatavyo. CIV-C ,HIST-C ,GEO- C ,BIBLE- C ,KISW-C, ENGL-C, PHY-D, CHEM-D...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Dogo ana ufaulu Chemistry-c Physics-D Biology-C hataki kusomea masuala ya sayansi anataka utangazaji je yuko sahihi kama tunavyojua soko sikuhizi linatoa nafasi kujiajiri na kuajiriwa kwa wasomi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
"An equation for me has no meaning, unless it expresses a thought of God." --Srinivasa Ramanujan Good day good citizens:) Leo ni siku nzuri ya hesabu na leo nataka tuongelee infinite series yaani...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Mpaka kuipata hyo CPA sijajua kwanini ina gharama kiasi kikubwa hivyo, na hata hawaogopi kututangazia hizo gharama. Watoto wa maskini wanaumia kutokufika malengo yao. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shem wenu kanitumia hili swali na mie ni mweupe kwenye viwanja hivi. Sasa JF haijawai kushindwa kitu. Mzigo ndio huu hapa sasa, kazi kwenu mimi nasubiri majibu tu. You have just returned from the...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari Ndugu wana JF, Naombeni msaada kidogo, kwa anayefahamu au anayesoma katika chuo cha dar es salaam Instute Technology (D. I. T) naomba anifahamishe utaratibu wa kujiunga na kozi ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
holaa, napenda kujua kama kuna chuo tanzania kinapokea clinical officers kufanya medicine, na kama kipo je wanaanza mwaka wa ngapi?:sleepy::sleepy:
0 Reactions
37 Replies
23K Views
Habarini wakuu.. Kwa anayejua utofauti angalau tano za Ms Publisher na Ms PowerPoint Msaada jamani kwa sababu hyo Ms Publisher ina kazi nyingi sana hadi za Ms PowerPoint Ntashukuru ukinisaidia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom