Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nina kijana wangu anataka kujiunga na kozi ya famasia ngazi ya cheti. Ana kemia - D, Bailojia - C na fizikia- F. Je anaweza kujiunga na kozi hiyo ngazi ya cheti? Kama likitupiwa karatasi toka...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Wakuu habari za saa, Naomba ushauri juu ya shughuli za kiuchumi ambazo hazitaathiri sana ratiba ya mwanachuo. (wa dar) 1. Ufugaji wa kuroiler (mkoani ) 2. Kilimo cha mpunga (shadidi ), Morogoro...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Wana JF naombeni msaada wenu jinsi ya kupata link ya post za waliochaguliwa kujiunga na vyuo pamoja na form 5. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hello guys naomba msaada wa kimawazo katika course hizi mbili interms of area of specialization, job opportunities, vyuo vinavyotoa hizi course na ada (tuition fees).
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Hivi kwanini kila nikiomba kazii, sipati kuitwa hata kwenye interview hali ya kwamba vigezo ninavyo? Nakwama wapi waungwana hivi ukitoa academic vitu gani vingine muhimu vya kuzingatia pengine...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
The strategic formulation approach to entrepreneurial theory emphasizes the planning process in successful venture development. In strategic formulation school of thought explain four types of...
0 Reactions
0 Replies
649 Views
Habari zenu wakuu, nina mdogo wangu amekaa nyumbani zaidi ya mwaka baada ya matokeo ya form four kuwa mabaya kwake, sasa naona nimpeleke hata Veta ili baadae nguvu zikija niisha niwe nimemuacha na...
1 Reactions
16 Replies
8K Views
Natumaini msomaji haujambo,naleta kwenu ombi la kuelimishwa/kufahamishwa. Nna mdogo wangu wa kike aliyemaliza kidato cha nne mwaka jana ambaye ana ulemavu wa macho(Blind). Matokeo yake hayampi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu napenda kuwaletea majina ya Wanafunzi kumi bora kidato cha nne 2019 kitaifa. 1. Joan Ritte (St Francis Girls Mbeya) 2. Denis Kinyange (Nyengezi Seminary Mwanza) 3. Erick Mutasingwa...
6 Reactions
87 Replies
15K Views
Jambo wana JF, mimi ni mmoja ya wanafunzi ninayetarajia kujiunga na chuo mwaka huu hasa intake ya mwez wa 3. Nimeleta hii mada ili na wenzangu wanaotarajia kujiunga na afya mwaka huu tuweze...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba ushauri wa kipi nisome kati ya Nursing na Pharmacy. Kwa waliosoma hizo kozi naombeni ushauri na pia nitafurahi sana kama nitapata baadhi ya wana JF wanaotarajia kusoma kozi moja wapo kati...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
JAMANI NAOMBA KWA YEYOTE YULE ATAKAYE OKOTA KUSIKIA AU KUWA NA CHETI CHA FORM 4 CHENYE JINA PETRO NATAL KIJUNGA NAOMBA TUJULISHANE KWA NAMBA 0629268795/0757658264
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau habari zenu. Naomba kuuliza ni website gani naweza kujifunza mambo ya IT from beginner to expert?
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Hizi hadithi licha ya kuburudisha zilikuwa zimejaa Mafundisho makubwa ambayo yalikuwa yakitumika kumjenga mtoto na kumfanya akue katika misingi iliyo bora. Je, ni hadithi gani ilipata kukuvutia...
1 Reactions
5 Replies
8K Views
Habari ndugu zangu wa Jf, Leo katika kuperuzi kwangu mitandaoni nikaona ngoja nipitie na Website ya NECTA ili na mimi niwe na taarifa za motomoto kutoka huko. Nilifanikiwa kuperuzi hapa na pale...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari JF, Nina mwanangu amehitimu Form Four, na kufaulu masomo mawili tu yaani Kiswahili C na Biology D. Naomba kuuliza kozi gani itamfaa VETA yeye ni wa kike. Msaada jamani, kama huna msaada...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
http://selform.tamisemi.go.tz https://selform.tamisemi.go.tz Kwa mwenye kufahamu linki mbadala tafadhali tujuze. Link hizo hapo juu leo hii hazifanyi kazi. Wakatabahu, Mlenge
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Good day good citizens... Albert Einstein alisema na'quote "Pure mathematics is, in its way, the poetry of logical ideas." — Albert Einstein, German theoretical physicist Leo tucheki hii...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naombeni kusaidiwa mawasiliano ya chuo cha Afya cha LUGALO Namba ya simu inayopatikana pamoja na email yao Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
2K Views
shule nzuri kwa kurudia mtihani wa kidato cha nne yaani QT ni ipi? hususani maeneo ya mwanza, dar es salaam
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Back
Top Bottom