Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Masada wenu wa point na ufafanuzi hili swali challenge of IPC Nataguliza shukrani
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna rafiki yangu anapenda kuwa askari polisi au kama itawezekana kupata nafasi yakwenda mafunzo ya FFU ataenda ana Div 2. Msaada wenu kwa wazoefu.
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Mimi ni mwanafunzi wa Advanced HKL, hivi inawezekana kusoma kozi ya IT chuoni? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Imezoeleka feza schools kuongoza matokeo ya kidato cha 2,4,na sita kitaifa. Lakini kwa ngazi ya msingi hata haiongozagi wala kutoa wahitimu bora kitaifa,tatizo hasa ni nini?
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua shule nzuri za wasichana za serikali za bweni zilizoko mkoani Mbeya. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
10K Views
Wanajamvi habarini za asubuhi, Naomba niende kwenye maada moja moja kwa udahiri umefunguliwa kuanzia tarehe 15 /01/2020 kwa baadhi ya vyuo kwa ngazi ya cheti/Diploma kwa baadhi ya vyuo Udahili...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Wadau salaam, Ninahitaji takwimu za idadi ya shule za upili kwa manispaa ya Shinyanga, naweza kuzipata wapi? Pia idadi ya wanafunzi wa elimu ya upili kwa manispaa ya Shinyanga. Natanguliza shukrani
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Chuo cha afya Tandabui Mwanza ni cha private lakini ada zake ni nafuu sana au tembelea hiyo link hapo www.tihest.org
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Nini Cha Kufanya Mwanafunzi ? 1. Weka lengo maalumu la kusoma kila siku na litimize. 2.Uwe na ratiba yako binafsi ya kujisomea nyumbani na ifuate. Hakikisha ukiwa nyumbani...
6 Reactions
28 Replies
53K Views
Shule hii inaitwa The Austrian International School of Sex (AISOOS), ipo mjini Viena Austria, ilianzishwa mwaka 2011 na mwanamama Ylva Maria Thompson maalumu kwa kufundisha mapenzi kwa nadharia na...
5 Reactions
29 Replies
8K Views
Baraza la Vyuo Vikuu la Afrika Mashariki(IUCEA) linalojumuisha vyuo vya umma na binafsi takribani 100 kutoka Kenya , Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi lilifanya utafiti mwaka 2014 kwa waajiri...
2 Reactions
18 Replies
5K Views
Habali wakuu natumai ni wazima wa afya huu Uzi unawausu kwa wanaosomea na waliosomea mambo ya afya (certificate ,diploma ,bachelor , masters. N.k ) tupeane dondoo kidogo... 1. Ni kitu Gani...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Vyuo vingi ambavyo ni makao makuu vinakuwaga vigumu sana, kila sheria inafatwa kwa hali ya juu sana na ukiteleza kidogo tu umekwenda. Hali ni tofauti kidogo huku kwenye matawi unakuta kwanza...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Ni kozi gani nzuri kati ya hizi 1:masters of education in administration planning and policy studies 2:masters of education in assessment and evaluation Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
415 Views
Wakuu wangu wazuri nawabusu. Kuna mdogo wangu amemaliza Form Four Kisutu girls pale posta (Shule ya serikali) ana division two. Sasa kuna Uncle alimuahidi kuwa akipata ufaulu mzuri atamsomesha...
3 Reactions
65 Replies
11K Views
Matokeo yangu ni: Phy - C Bio - B Chem - B Geo - C Kisw - C Math - A Eng - C Literature - D Dini - C Civ - C Na nina ndotoza kusomea CO kupitia college, halafu after CO nisomee tena MD. Je...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Regulations mpya za CHUO KIKUU CHA DODOMA zinatisha kiasi kwamba zinaweza kusababisha vijana wengi kurudi nyumbani, hivi sasa mwanafunzi kama hajafikisha coursework ya 16 (college zingine) na 25...
3 Reactions
76 Replies
12K Views
Samahani wana JF nilikiwa nahitaji kuzifahamu Shule za Sekondari ambazo zipo karibu na barabara ya Morogoro road (Ubungo - Mbezi Luis) angalau sita kwa ajili ya project maalum ya kielimu. Sent...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Moja kwa moja kwenye mada husika. Kutokana na ongezeko kubwa la walimu waliohitimu masomo yao kuwa kubwa mtaani Ikiwa wengi wao hawana ajira na kuendelea kuhangaika mtaani ambapo mwajiri mkuu...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Kijana mhitimu wa Shahada, stashahada au astashahada hajui Kiswahili fasaha, cha ajabu wengine chuo kikuu wamesoma Shahada ya Elimu na Lugha. Ukipitia kurasa zao Facebook au instagram utaona...
18 Reactions
45 Replies
6K Views
Back
Top Bottom