Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
A.alykum. kwa heshima na taadhima naomba niwasilishe ombi langu kwenu. Mimi ni kijana niliemaliza mtihani was form 4 mwaka 2016 na kupata ufaulu was div 2 ya 18. baada ya hapo nilitokewa na...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Habari zenu members! Mie nimesomea Certificate ya Human Resource Management katika Chuo cha Mount Meru University kabla hakijafungiwa. Nahitaji kuendelea na Diploma. Kuna Chuo nimeapply kusoma...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
MSAADA KWENYE COMBINATION FORM FIVE M 18 II CIV - 'B' HIST - 'B' GEO - 'C' E/D/KIISLAMU - 'D' KISW - 'B' ENGL - 'C' PHY - 'F' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'C'
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Nimekuwa na mkwaruzano na mama wa mtoto wangu juu ya elimu ya msingi ya kijana wangu atakayehitimu chekechea November. Mimi natamani asome St Kayumba ili ajifunze nilivyojifunza mimi ili hata...
2 Reactions
28 Replies
5K Views
Waungwana habari za jioni poleni na uchovu wa kazi. Samahani hivi format ya mitihani ya Kidato cha Pili, Nne pamoja na QT tayari zimeshatoka? Na kama tayari ninaomba mwenye nazo anisaidie...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
We have added 2019 results with analysis. Angalia ujue wanafunzi wangapi walipa A kwenye kiswahili mwaka 2019, au shule mbili zilifanyaje ukiliganisha Soma Pia Matokeo mengine kuanzia 2008...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kusaidiwa jinsi ya kupata GPA ya mwisho wa mwaka wa tatu Clinical Medicine. Wanaanza kuhesabia tangu mwaka wa ngapi? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wanabodi za asubuhi Nimepitapita kwenye shule za sekondari za Halmashauri ya wilaya ya Uyui Mkoani Tabora na kushudia Wanafunzi wa kidato cha kwanza wanakaa chini sakafuni hali inayotia simanzi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimechaguliwa kusoma PCM Musoma technical secondary school na sijasoma tuition na tunaripoti kuanzia tarehe 08/07/2019 Nahitaji msaada juu ya vitabu vinavyohitajika pamoja na ushauri
2 Reactions
21 Replies
5K Views
Nimekuwa nawaza kuweka App ambayo itasaidia watumiaji wa mwendokasi kujua gari liko wapi, ila sijui hata kama wanao hizo data, na kama wanazo mtu napataje hizo data? Mchango wowote unakaribishwa
1 Reactions
0 Replies
873 Views
Nina wadogo na ndugu zangu watano waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana ambao matokeo yao yametoka mapema mwaka huu. Kati ya wadogo zangu watano watatu wamepata daraja la kwanza na...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Habari Ndugu Wana Jukwaa Naomba msaada wa kujuzwa utaratibu wa mtumishi kuomba kwenda kusoma maana nimeambiwa inahitajika admission number ya chuo unachoenda kusoma ilihali udahili bado...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1.Kwa wale wa Certificate wanaoenda kuanza mwaka huu wanaanza application lini na zipo intake ngapi katika mwaka 2. Samahani naomba kwa yeyote anayefahamu course zozote ngazi ya cheti na vyuo...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Jaman Naomba kufahamu kozi zifuatazo: Hivi nikisoma kozi hizi naweza fanya kazi gani 1:Human resources management 2Public sector financial management 3Public procurement and supplies management...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu habarini za jioni, naombeni mnisaidie desa za Principles of Education, History of Education, Comparative Education, Sociology of Education, Philosophy of Education. Naombeni hasa zile...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Yaani ukiingia benki lazima utakutana na Mtanzania ambae hajui kujaza pay in slip au hata money transfer forms kv TT. Hii ni elimu ndogo kabisa ambayo wananchi wanafaa kujifunza Shule ya Msingi au...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu swalama kijana kafaulu ila tunapendekeza aende advance private safi inayotoa michepuko ya sayansi NB: shule ikiwa wavulana tupu itapendeza zaid Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Form 4 ana IV point 26 Diploma G.P.A 2.8 Anaweza kupata chuo kusoma Bachelor Degree? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom