Habarini Wana jamvi humu ndani.
Naomba kuuliza kwa wenye ufuhamu na uelewa zaidi wa hii gani ya Biomedical eng (vifaa tiba) hususani katika swala la àjira zake kwa sasa na badae,je serikali...
Kulikuwa na wimbi kubwa sana la vitabu na na notes mbalimbali vilivyokuwa vimechapishwa na na kutungwa na Nyambari Nyangwine, ilikuwa si rahisi kwa mwanafunzi unayejua kujitafutia material/notes...
Petroleum petroleum namba wanaisoma,
Watu wana masters zao namba wanaisoma
watu wana PHD zao namba wanaisoma
namba shufwa wanazisoma
namba witiri namba tasa,
Watu wana mauzoefu yao namba wanaisoma...
Program Benefits
All FLTA fellows receive a monthly stipend, health insurance and travel support. U.S. host institutions provide tuition awards to support the required coursework. The FLTA...
Hello wadau, kuwa mwanachama wa CPA inabidi ufikishe masaa 30 katika semina kila mwaka, haya masaa wanayaita CPD hours,
Sasa shughuli inapokuja ni kwenye gharama kubwa ili kuyapata haya masaa 30...
habari zenu ndugu zangu wana jamvi
naomba niulize maswali mawili na yeyote mwenye uelewa juu ya maswali hayo bas naomba anijuze
1. chuo cha NIT pale mabibo ni maarufu kwa course za...
Habari
Week hii niko off kidogo home kwa wanaopenda kusoma vitabu hususani vya Financial development, Personal development na investment naomba aliye na kitabu hardcopy kashakisoma aniazime...
Habarini nduguu zangu. Naombaa kuuliza eti unaweza kuapply chuo kikuu kwa mtu aliyetoka Form 4 na anapenda kusoma Diploma kwa course tofauti kama ya afya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF (wasomi) nimeweka Uzi huu kwa nia ya kujifunza na kuelekezwa kuhusu ili.
Je kwa mtu aliye soma diploma ya business administration anaweza kuendelea mpaka digrii au haiwezekani...
Habarini za muda wakuu!
Tafadhali aliyesoma kozi ya Labour Relations & Public Relations kuanzia ngazi ya cheti.
Naomba anijulishe alisomea chuo gani, ukiachilia mbali ISW {Chuo cha Ustawi wa...
Habari zenu wakuu,
Naomba nisiwe na maneno mengi sana, mimi ni mwanafunzi hapa Chuo Kikuu Mzumbe mwaka wa pili. Hapa chuoni kuna usumbufu na kero kubwa zinazo endelea dhidi ya wanafunzi, uongozi...
Ili kupunguza Gap la uchumi yaani economic gap ni muhimu serikali iachane na ajira za walimu kwani kwa miaka mfululizo tangu 2006 wamekuwa wakiajiriwa wote. Ni muda wa serikali kuendeleza upande...
Kati ya Bachelor Degree in Dental surgery na Doctor of medicine ipi kwa nyakati hizi inalipa sana na haisumbui katika upatiakanaji wa ajira.
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
nachukua nafasi hii kuuliza kwa wanaojua ikiwa chuo cha udsm huwa kinadahili wanafunzi wapitiao foundation programme pale open iniversity, ( hawa ni wale wanafunzi waliokosa principle pass A...
Kuna vitabu mbali mbali vya riwaya tulivyobaatika kuvisoma pindi tulipokuwa vidato fulani vya sekondari,
kama ndivyo naomba tukumbushane baadhi ya matukio amabyo yalikukuna sana kiasi kwamba...
Wadau naomba msaada wenu kwa hili.
Ninataka kusoma pharmacetical science diploma na najiunga diploma kwa credit zangu za
D = biology
C = chemstry
Na credit nyengine mbili zisizokua za science...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.