Msaada jaman naombeni kujua nifa zipi za kujiunga diploma Mimi nina cheti cha airfare cha short course je naweza kuapply diploma za IT,EDUCATIONA& ACCOUNTING?
Habari wanajamvi, nna mpango wa kwenda kupiga clinical medicine kwenye chuotajwa hapo juu, hivyo kwa mwenye kukifahamu hiko chuo in aspects of quality training, nacte registration e.tc. anijuze...
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako amempa siku 14 Kamishna wa Elimu na wataalamu wake kumpa mrejesho wa maagizo aliyotoa Julai mwaka huu, kuhusu kurekebisha Waraka wa...
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Taifa la Tanzania (NECTA) limetangaza matokeo ya mtihani wa kuhitimu elimu ya msingi ambako mikoa ya kanda ya ziwa imeonekana kuongoza kwa kushika nafasi zote...
Nimetafakari sana, Wenzetu Kenya walishaacha kutangaza shule hii imekuwa ya kwanza shule hii imekuwa ya mwisho. Nafikiri hizi takwimu zibaki kwa ajili ya wizara tu ili kuweza kurahisisha...
Habari za leo wakuu,nimechaguliwa diploma in mining engineering katika chuo cha madini Dodoma,naomba kujua mwenye uelewa wowote kuhusu
1.source nzuri za materials
2.njia nzuri za kutumia...
Habari,
Mimi ni kijana mdogo kabisa, lakini kuna tatizo lina ni sumbua sana na si lingine bali uwezo mdogo wa kudadavua mambo, kama siasa, uchumi, michezo na mengineyo.
Huwa natamani sana kuwa...
Hey wadau naomba kujua matokeo ya waliochaguliwa wakati wa maombi round 4, maana TCU walisema tarehe 10-10-2019 ambayo ndio leo majina yatatangazwa na wale watakaokuwa na multiple admisssion...
Habari wana jf mm nimechaguliwa udsm kozi ya bachelor of education in educational psychology sasa ningependa kutambua hii kozi inatofautiana vp na koz zingine za elimu kama Baed ,bed n.k ,msaada plz
Habari za humu wana jamii forum,samahn kulingana na kichwa cha habari tajwa hapo juu naomba ushauri wenu kati ya hizi course mbili ni ipi ni nzuri zaid kwa upande wa Ajira
Habari zenu wana jamvi natumaini wote ni wazima
Nimefika chuo jumatatu tunaanza usajili lakini mimi nimesahau result slip nyumbani.
Ntafanyaje naombeni msaada wenu.
Najifunza kwa vitendo
Salamu
Kwenu ndugu zangu Rafiki yangu ni mfanyakazi wa hoteli barista & barman
Miaka 29 muda wake wa kazi ni kati ya saa8 kila siku ila ana off day moja. Ila anahitaji...
Wakuu kwa anaejua tarehe rasmi ya kuripoti chuoni kwa wale wa mwaka wa kwanza pale UDOM atujuze maana kuna fununu fununu nyingi mwishowe tunapotea
Msaada tafadhari
Hello wanajukwaa,
Naomba kuuliza , hivi inawezekana kuripoti chuo bila kulipa direct cost kama vile za hostel,afya,capitation fee nk. na kusubiria mkopo ili kuzilipa kupitia mkopo.
Mkopo...
Ndugu zangu wanajamvi mimi ni muhitimu wa chuo kikuu, nimemaliza masomo yangu ya degree ya kwanza mwaka huu 2019.Nilikuwa nasoma ualimu na kufanikiwa kupata GPA ya 4.2 (Teaching subjects ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.