Kwa muda mrefu tumekuwa na hili tatizo la mimba kwa wanafunzi, wa shule za msingi na sekondari. Naiona nia ya taifa katika namna za kutaka kutokomeza tatizo hili, lakini suluhu tunazotumia...
Habari zenu wakuu. Mwenye swali kuhusu Ardhi Institute Morogoro asiache kuuliza hapa nitamjibu kadri nitakavyoweza. Ahsanteni, karibu Ardhi Institute Morogoro mkapate ujuzi kwa vitendo.
N.B mimi...
Natumaini wanajamvi mu- wazima wa afya mkiendelea na majukumu ya hapa na pale ,
Mungu wetu ashukuliwe na awe nanyi katika kila hatua mnayopitia.
Kutokana na stendi ya jijj la Dodoma kuhamishwa...
Wakuu habari zenu:hivi inakuwaje kwenye akaunti ya udahili wanakupongeza kabisa kuwa umechaguliwa chuo,Halafu ukiangalia kwenye list ya chuo hauoni jina.hii ina madhara yoyote,msaada wakuu
NECTA imetangaza Matokeo ya Darasa la Saba 2019 na kusema kuwa ufaulu umeongezeka kwa asilimia 3.78. Waliofaulu ni asilimia 81.50 ya watahiniwa 933,369. Pia Watahiniwa 909 wamefutiwa matokeo kwa...
Jamani eti majina ya 2nd round vyuoni yametoka?
==================================
YAMEANZA KUTOKA CHEK HAYA>>Muslim University of Morogoro Tayari wameachia majina haya>Muslim University Of...
Kuhusu admission letter kuna aliechaguliwa Diploma UDOM na amepata admission letter mbona kila nikiangalia kwa profile ya dogo hamna chochote na muda unasonga maana nasikia Degree zishatoka. Isije...
Habari wadau,
Matokeo ya darasa la saba tayari. Hongera kwa waliofuzu. Kwa wale ambao mambo hayakuenda yalivyotarajiwa, hamna haja ya kukata tamaa. Kuna njia nyingi tu za kumuua panya...
Bila ya...
Habari za majukumu? Naomba niwe specific, ni kwamba kama kuna mwalimu anaetaka au kupenda kufundisha mkoani Tabora (Milambo), na hivi sasa yupo Mwanza.
Nadhani hii itakuwa ni fursa kwake na kwa...
Habari za siku wana Jf nina ndugu yangu aliconfirm Makumira ila anapenda kusoma UDSM na ada halipiwi na HESLB Bali kuna shirika la kimarekan litamsomesha je akienda kuripoti UDSM itamletea madhara...
habari wana JF,
Nina swali ambalo watu wengi wananiuliza, kwamba je kwa wenye average ya D kwenye matokeo ya darasa la saba, wanaenda Form 1??
Naombeni msaada
Namkumbuka kiongozi wa bush runners(BISO) katika shule ya sekondari Buswelu iliyopo Mwanza alivyokuwa akitesa watu.
Waalimu, Viranja na wanafunzi walikuwa wanamuogopa sana alikuwa akiitwa Bob...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.