Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Msaada tafadhali wakuu,Nina cheti cha airfare&ticketing with tour guiding operation naweza kuapply diploma za IT,EDUCATION na ACCOUNTING? au ni course zipi naweza kuapply?
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Habari wakuu, Naomba ushauri wenu jinsi ya kusoma na kufaulu vema. Nina ndoto za kusoma MD Muhimbili na najua competition ni kubwa sana na masom ni heavy hivyo nawaombeni ushauri plz
2 Reactions
40 Replies
21K Views
Kwenye tangazo lao la Admission into non-degree programmes (First Round) la Jumatatu tarehe 2 September 2019 UDOM waliandika “All admitted students into different study programmes will receive...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Jamani nina maswali matatu ningependa kujua kwa yeyote mwenye uelewa 1. Nataka kujua fees amabazo natakiwa kulipa kwa ujumla ili kufanya mitihani ya bodi ya psptb(procurement board) 2...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Napenda kujua kiko wapi kinatoa mafunzo kwa muda gani?ada kiasi gani?Hostel zipo?Nina malengo ya kumpeleka mwanangu.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu nimechaguliwa kwenda kusoma BSc ya COMPUTER SCIENCE lakini nimekuwa nikisikia sikia kwamba kozi hii huwa ni ngumu. Sasa naombeni wakuu mnisaidie ni ugumu gani upo kwenye kozi hii na...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Wakuu habari zenu, Kwa wale wataalam wa mambo naomba msada wenu hivi kati ya hizi postgraduate course ipi nzuri ya kusoma naplan nianze mastarz next year. 1. Msc in Finance & big data analytics...
0 Reactions
2 Replies
929 Views
Ndugu zangu nauliza kama matokeo ya wanafunzi wanaojiunga na vyuo vya afya vya serikali mwaka huu 2019 kama yalishatoka. Kama yalishatoka nayapata wapi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
TCU walitangaza kuwa tarehe 10 ni siku ya vyuo kutangaza majina ya waliowadahili katika awamu hii ya nne cha ajabu hadi muda huu akuna chuo kilichotoa majina wanajf akuna anayejua sababu? mimi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wajumbe, ninaleta kwenu link ya group la WhatsApp la walimu wa Biology, mnakaribishwa nyote, kuna mijadala, notes za vidato vyote na mitihani ya MOCK & Pre Necta. Link...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nahitaji sholarship nikosome masters ya moja wapo ya kozi tajwa hapo juu. nisaidieni kupata scholarship. Hususani bioethics pale muhimbili
1 Reactions
1 Replies
955 Views
Waliochaguliwa MOCU/MUCCOBS tukutane hapa kwa ajili ya kufahamiana pls
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Msaada jaman naombeni kujua nifa zipi za kujiunga diploma Mimi nina cheti cha airfare cha short course je naweza kuapply diploma za IT, EDUCATION & ACCOUNTING?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ni vyema tukajuana ili tuwe tunapeana updates kabla ya kufika chuoni. Asanteni na karibuni
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Naomba kujua, 1. Chuo hiki campus yake iko wapi? 2. Kinachukua watu wa aina gani.... 3. Day or boarding 4. Mwanafunzi raia taratibu za jeshi zinam- bind kwa kiasi gani
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Naomba ushauri, nahitaji kuchagua kati ya hizi kozi mbili ipi nibora nikasome mwenye uelewa nazo anisaidie ushauri
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hivi hakuna special color code za kila mtandao wa simu? Upande wa minara yote nguzo zake naona rangi nyekundu na nyeupe. Nitajuaje kama ni mnara wa tigo, airtel au vodacom?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Naombeni msaada kwa yeyote anayejua utaratibu au anaweza nisaidia kupata nafasi chuo cha Mirembe Dodoma kwa kozi ya nursing ukilinganisha na muda kama umekwenda. Asante 0767833496 0622111186
1 Reactions
2 Replies
3K Views
https://chat.whatsapp.com/J5hIcaXI9m34qO5XEwzNNu
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom