Naanza kwa kukupongeza kwa nafasi hiyo.
Ni dhahiri kuwa hizi ni course ambazo hazina ushindani mkubwa kwenye chuo hiki na huwa hazibebi wanafunzi wengi. Hii imaweza kuwa ni kutokana na soko la...
hello JF,
nimeona mahali, statistics shows that those who finish/complete secondary education are 30% only.
staggering 70% are in the dark.
Sijui mna mawazo gani wanajamii kuhusu hili ….?
Nini...
Wakuu habari ninaomba ushauri nimemaliza form six Nina div 2 ya 10 cbg nimepangiwa bsc in agribusiness ninataka nikabadilishe hio kozi nikasome Agriculture general au agronomy naomba ushauri wenu...
Habari za saa,
Naomba kupata taarifa kuhusu hivi vyuo hasa kwenye course ya Business Administration.
*Mazingira ya vyuo hivi na Fursa zilizopo katika vyuo hivi.
*Gharama za maisha
Habari
kama heading ilivo hapo kumekuwa na sintofahamu kadhaa kwa wanafunzi wa udom kuhusu
michango kupanda kila siku,
Hostels za chuo kuwa na vyoo vibovu,
maji kukatika kwa mda mrefu,
Gharama za...
Habarin za wakat huu wana Jf
Kama una ndgu yako anatarajia kujiunga na Muhimbil University bac ningependa kuwaqumbuxha yafuatayo:
1) Ondoa dhana ya kwmba chuo bata, kwa muhas utaxoma...
Wakuu nawasalimu nyote, nimesoma microfinance management cheti na diploma nataka nijiunge degree na course nyingine inayoendana na hiyo ili nisiwe nje Sana, au niendelee na hiyo hiyo. Je ajira...
Wakuu habari za leo?
Nimechaguliwa kujiunga na chuo hiki kwa mwaka wa masomo 2019/2020 ngazi ya diploma.Mwenye kujua chochote kuhusu chuo hiki kuhusu maswala ya hostel,ulipaji wa ada na kadhalika...
Habari za Asubuhi wakubwa zangu mwenyezi mungu ametupa ahueni tena na tunaendelea na majukumu yetu ya Kila siku. awali ya yote mimi Ni mwanafunzi niliechaguliwa kusoma hapo...
Mimi ni mhitimu wa kidato cha sita ila sina uelewa wowote kwenye kozi mana hatukupewa elimu yoyote kuhusu kozi, Sasa nimechaguliwa UDSM -Bsc.Busness information tech, ila sielewi hii kozi badae...
wajumvi wa jukwaa hili naomba msaada wa mawaidha kuhusu koz ya information managent,nins ndugu yangu kachaguliwa kozi hiyo round ya pili chuo cha tumain campus ya dar es salaam naomba msaada wa...
Salama wana JF,
Napenda kushiriki nanyi kimawazo kuhusu ufanikishaji wa uendeshaji wa hii elimu bure.
Katika ukweli ulio wazi, ukijaribu kupiga hesabu
Utakuta kwamba stahiki za walimu yaan...
Habari za Leo wana jamii forum,samahani naombeni ushauri wa hiyo course tajwa hapo juu kwa upande wa mazingira ya kazi na ajira zake,samahn matus nadhan hayajenga naombeni ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.