Nilihitmu kidato cha nne mwaka jana na nikapangiwa shule ya Sekondari Sadan lkn sikuweza kwenda kutokana na matatizo ya kiafya. Nimewapigia simu wamenambia naweza kwenda.
Naombeni ushauri niende...
naomba kupewa vigezo vya kujiunga na diploma ya ualimu kwa waliomaliza form six mwaka 2014. maana mimi nina iv pia nina C ya chemistry, nina alama D ya physics na nina alama D ya mathematics...
Chuo Kikuu "Huria" cha Tanzania leo kimetangaza kurejeshwa kwa Foundation Program ambayo awali ilisimamishwa na serikali. Kwa hiyo njia nyingine ya kwenda vyuo vikuu imefunguliwa tena ingawapo...
Ukizungumzia vyuo vikuu tz, utakutana na wanaosema kuwa udsm, mzumbe n.k ndo vyuo bora zaid huku Open university wakiponda vby..lkn ukiangalia ranking unakuta open inaizidi mzumbe..tatzo ni nn
Habari wakuu.
Nimepita sehemu nikakuta jamaa wametengeneza mfumo ambao maji yote ya bafuni na jikoni yameelekezwa kwenye shamba la migomba na imestawi vizuri tu.
Swali langu ni kuwa je maji ya...
Baada ya kusubiri kwa hamu mambo yamekuwa magumu. UDOM na SUA ndio nimeona wametuwekea ni program gani zina nafasi na nafasi ngapi, Wengine hadi sasa hawajaweka kitu na wengine wametaja program tu...
CORRECTIONS OF NECESSARY INFORMATION IN LOAN APPLICATIONS
During the exercise of processing 2019/2020 loan application forms, the Board has come across loan applications which are missing some...
•Usichague chuo kwa ajili ya jina(Big name). Chagua chuo kulingana na ubora wa program unayotaka kusoma.
•Usichague program kwa ajili ya mshahara mkubwa itakugharimu, soma kitu unachopenda ili...
Hatuwezi pata wataalamu wa hovyo kisa wote tusome PCB&PCM binafsi naona kila mtu asome anachopenda tunahitaji wataalamu wa kila aina!! Kumbuka Tatizo la Ajira halijaanzia tu TZ.. hili Pengine n...
Ndugu mwalimu na mwanafunzi , sasa unaweza kupima uelewa wako au uelewa wa wanafunzi wako kwa topic uliojifunza au uliyofundisha kwa urahisi zaidi kupitia maswali mbalimbali yaliyokusanywa kwa...
Wadau nisaidieni!
Nahitaji kuverify cheti changu cha masters niliyoipata nje ya nchi mwenye uzoefu na procedures nijuze maana niko Mbeya, mbali na ofisi za TCU.
Niliwapigia TCU wakaniambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.