Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hivi wanafunzi wanao baki vyuoni kufundisha huwa wana qualification gani?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
WakuNingependa kujuwa kama Chuo Huria nao wameshatoa majina kwa wale waliomba shahada ya kwanza!?
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Chuo cha utumishi wa Umma kimetoa orodha ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na chuo hicho katika ngazi ya degree...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari Ndugu.. Kama Umechaguliwa Chuo kikuu Cha Dodoma Mwaka huu ... Tuma text whatsapp kwenye namba Hyo hapo Chini Ili uungwe kwenye Group za UDOM... na uweze kupata Information Mbali mbali...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Ina maana gani mtu ukiambiwa Ordinary diploma na advanced diploma !? . Je unaweza chaguliwa ordinary diploma bila kua na certificate ya kozi yoyote?
0 Reactions
2 Replies
965 Views
Wakuu, naomba msaada na ufafanuzi wenu kuhusiana na hizi kozi zinazotolewa MUHAS (Muhimbili University). Wakuu nina ndugu yangu amechaguliwa kusomea Degree ya Maabara ya Microbiology (Bachelor of...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari? Naomba anaeifahamu kozi hii vizuri anieleweshe juu ya soko lake, usomaji wake na pia je namna gani inaweza kuwa msaada kama mtu alieisomea akikosa ajira ni hayo tu kwa uchache
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Msaada tafadhali Nina short course ya cheti cha AIRFAIR & TICKETING WITH TOUR GUIDING OPERATION. Je, course ipi naweza ku-apply diploma Kati ya IT, ICT, EDUCATION NA ACCOUNTING au kama kuna...
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Msaada naomba kuuliza Nina cheti cha short course ya Airfare & Ticketing with Tour Guiding Operation. Je, naweza ku-apply diploma ya IT, Educational na Accounting?
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Wadau, ni kozi gani naeza kusoma veta hapa ikanipa manufaa kitaa..!??
1 Reactions
11 Replies
6K Views
1. Kisiwe "cha shule". 2. Kisiwe kwa namna yoyote kinalazimika kununuliwa. Mimi kitabu nikumbukacho kukinunua hivi karibuni ni Do It Scared. Nilikinunua kama ebook. Kitabu ambacho karibuni...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari za majukumu wakuu? Naomba kuuliza km nacte wameshatoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na course mbalimbali za astashahada na stashahada kwa awamu ya pili.asanteni[emoji120]
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habar wakuu,samahani naomba mwenye maelezo ya kujua chuo cha Tosamaganga ni chuo cha namna gani,mtoto akisoma hapo mazingira yake yako vizur?maarifa wanatoa vizur?hakuna ubabaishaji? Upande wa...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Nimekuwa nikitafuta kwa muda mrefu mahali mlipoyahifadhi matokeo haya bila mafanikio. Ni kwa nini hayapo? Hata kule Maktaba ya Tetea pia hayapo. Nijulisheni tafadhali.
2 Reactions
3 Replies
6K Views
Habar za leo wanafamilia wenzangu, Tangu utotoni nilikuwa na ndoto ya kuwa Doctor wa kutibu binadamu na ikitokea wazo hilo limeshindkana basi nijiunge na chuo cha udereva wa magari ya mizigo (huo...
1 Reactions
17 Replies
15K Views
Habari JF, Baada ya bodi ya mikopo kutoa orodha ya majina kwa watu ambao fomu zao zina makosa, na wakadai watatoa mwongozo wa namna ya kufanya, sijui watatoa lini? Ombi kwenu, huo mwongozo...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Mati uyole Nili omba nafasi ya masomo mati uyole ila mpaka ss sjapata taarifa yoyote kama nimepata nafasi au vp sijui wengine mlio apply mmepata
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom