Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kuchapa fimbo ni aina ya motisha (reinforcement) iliyoko kwenye kundi la negative reinforcement (punishment au adhabu). Kutumia fimbo shuleni ni matokeo ya mtaalam mmoja wa kirusi bingwa wa...
11 Reactions
321 Replies
22K Views
Mimi nimesoma, private toka primary hadi advance. Na niliomba mkopo, na chuo nikachaguliwa UDOM, na ninaenda UDOM MD, vipi mkopo nitapata au deshi kabisa. Mdhamini wangu ni baba ambaye ni mkulima
1 Reactions
3 Replies
655 Views
Wakuu mwenye kujua chuo cha ufundi wa simu kizuri east Africa au Tanzania anijuze.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimechaguliwa BCS of education SUA nina two ya 11 nimesoma PCB yaani nimepata Chem C Bios C na Phy E nilikuwa nauliza je na weza badilisha course na niende BVM? Na kama naweza ni njia zipi...
1 Reactions
81 Replies
16K Views
Waliochaguliwa MOCU tukutane hapa kwa updates zaidi
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Jaman wale wa SAUT Mbeya tukutane hapa na kujuana na kupeana updates za Chuo na mazingira kwa ujumla ya huko MBEYA
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu kwa wale wa kampala university kama kuna group watsapp tujuane jmn
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani hivi kuna Student Association ya Geologists hapa Tz? also kazi zetu almost 80% tunategemea kufanya migodini, ila ukicheki ktk nafasi za kazi utakuta wanahitaji experience ya almost 3yrs...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari wana JF. Naomba kusaidiwa kwa kupewa majibu ya swali hili..... ————★———★————— Hivi mtu aliyehitimu degree ya BUSINESS MANAGEMENT au BBA-HRM,akisomea PGD (post graduate diploma...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima naomba kuelekezwa Kwa watu walioapply certificate selection zao zinatoka lini ? Natanguliza shukrani zangu kwenu.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za siku wana Jf Nina ndugu yangu aliconfirm makumira ila anapenda kusoma UDSM na ada halipiwi na HESLB Bali kuna shirika LA kimarekan litamsomesha je akienda kuripoti UDSM itamletea madhara...
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Wadau tangu nichaguliwe sijaenda kuchukua hata admission letter ila nasubiri ifike tarehe za mwishoni mwezi huu!!!! sasa je mwenye ujuzi nitakuwa nimechelewa au niko in time????
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahani jamani... Nilikua naomba kuuliza hivi course ya Bachelor degree in Regional development planning... Kwa wigo wa ajira sasa hivi ipo marketable au ndio kama sawa na Course ya Law?! Na...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wakuu nilikuwa nauliza kuna tofauti gani kwa vyuo vinavyotoa bachelor of law kwa miaka 3 na vile vya miaka 4
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nawasalimu nyote! Nimesoma microfinance management cheti na diploma, naomba kwa wanaofahamu course inayoendana na hiyo ili nisiwe nje sana, au je nikiendelea na hiyo Microfinance Management...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Wakuu hizi degree za online amity university wakishirikiana na udsm zinaaminika? Au ndo ile umejipinda kusoma halafu unaambiwa chuo hakitambuliwi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii forum,samahan nimechaguliwa katika round ya nne ya application na nimepata vyuo vitatu sijaconfirm naomba ushauri wenu kozi ipi kati ya hizi inaweza kufaa zaidi kwa upande...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu naomba maoni yenu kati ya MD na DOCTOR OF DENTAL ipi inasoko kujiajiri na pia serikalini
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wale mlioomba majina ya awamu ya kwanza yapo tayari muda wowote kuanzia sasa yataachiliwa rasmi
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni mkazi wa Morogoro, Kilosa naomba msaada wa kufika Bumbuli COTCS TANGA (maelezo tu je kuna gari la moja kwa moja kutoka Msamvu hadi Bumbuli? Kama hapana je nishukie wapi ili iwe rahisi...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom