Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wakuu, Naomba kufahamishwa kwa anaejua kama TCU wanafanya verification ya online diplomas/degrees na kutoa verified certificates ambazo zitakuwa zinatambuliwa Tanzania. Yaani namaanisha...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Mimi ni mwanafunzi ambae nmechaguliwa chuo zaidi ya kimoja ambapo mzazi wangu akacomfirm chuo cha muce ambapo mimi ckitaki kwasababu nataka nibadilishe program kwenda sheria sasa nifanyaje...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Hellow wana jamii forum,samahn naomba msaada wa kufahamishwa chuo bora cha private ambacho kinatoa faculty kwa aliyesoma CBG,ambacho ada yake si kubwa sana
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Wakuu habari Mimi ni mwalimu niliyeajiriwa mwaka 2014 Mwaka huu niliandika barua ili niwekwe kwenye mpango wa kwenda masomon lkn nasikitika mpaka sasa sijawah jibiwa Binafs nikaendelea na...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Naomba kujua kozi ya bachelor of arts in library and information studies katika sekta ya ajira.Asanteni
0 Reactions
0 Replies
713 Views
Msimu wa usajili wa wanafunzi wa darasa la saba kuingia shule binafsi au za mashirika ya dini umeungia Na ndio msimu mzuri wa biashara ila sasa umefikia kiwango cha kuwaumiza wazazi. Wazazi sasa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarini wana jamvi ,kwa yoyoye mwenye kuifahamu hiyo kozi hapo juu anifahamishe inahusiana na nini?,Je soko lake la ajira lipo? na vyuo gan vinavyotoa hiyo kozi?.Msaada tafadhal!.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Karibuni wadau chuo kipo poa sana haswa haswa course ya bachelor of education ( mathematics) karibuni!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Inawezekana mtu akauncomfirm chuo kimoja alafu akacomfirm kingine?
0 Reactions
0 Replies
482 Views
Eti wakuu majina ya wanufaikaji wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu yanatarajiwa kutolewa lini kwa mwaka huu namaanisha tarehe ngapi?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni matumaini yangu basi wadau wenzangu wa Elimu mko salama kabisa!. Kama kichwa cha uzi kinavyouliza, nimeshangazwa sana na haya mabadiliko ya kiteknlojia katika elimu, kitu ambacho kimepelekea...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) imesema kwamba Tanzania ina uhaba mkubwa wa wahasibu wenye CPA (Certified Public Accountant) ambapo kwa sasa walio na sifa hizo ni 8,000 tu nchi nzima...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Uzoefu + Maujuzi + Taarifa kwa wanaojua na watakaowahi.
0 Reactions
1 Replies
579 Views
wadau. kuna ujinga mwingi sana unaendelea katika elimu ya nchi. hainiingii akilini kumfundisha mtoto wa miaka sita hesabu za borrow na carry this is stupidity. turejelee utaratibu wa zamani...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanafunzi wengi wa chuo hicho ambao wamemaliza stashahada wanaendelea kusugua gaga baada ya uongozi wa chuo hicho kuwambia kwamba matokeo yao hayatapelekwa NACTE kwa madai kuwa wenye ufaulu wa GPA...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hapa ni kwa ajili ya kufahamiana zaidi maana tunakua familia moja na kupeana utaratibu, pia hata kukifahamu chuo kwa undani zaidi, bila kusahau kuwekana sawa katika utata wa program husika. Karibuni.
2 Reactions
343 Replies
37K Views
Hope weekend imeenda safi wakuu. MSAADA WAKUU NINA DOGO LANGU AMESOMA MASOMO YA ACCOUNTING AND FINANCE NGAZI YA DIPLOMA ANAITAJI KUJIUNGA NA BOARDS HII.NAULIZA KUHUSU GHARAMA NA ANA ANZIA LEVEL...
1 Reactions
22 Replies
17K Views
Wakuu suaias yangu haifunguki, mwenye admission letter na joining forms tupia hap
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nipo Maswa Simiyu naitaji mwl wa kubadilishanae kituo cha kazi iwe wa Morogoro, Mbeya au dodoma jiji, simu namba 0767897990
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau nauliza kuhusu tohara ya mwanaume,,, me ni kijana mkubwa tu lakn bado cjafanya tohara napenda kujua kuhusu uponaji wake ni siku ngap maana Kama wasemavyo riziki ya mbwa Iko miguuni mwake...
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Back
Top Bottom