Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari wakuu...nimekua nikijiuliza hiki chuo chetu pendwa kwanini hakina kozi ya udereva wa BODABODA ????ina maana haya MAJANGA yanayosababishwa na hawa madereva wetu BODABODA...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakubwa nimemaliza kidato cha 6 .comb CBG na nimepata daraja 2.12 . Nimechaguliwa SUA kozi ya shahada ya science in family and consumer study. Naomben ushauri kuhusu hiyo kozi na pia nilikuwa na...
0 Reactions
34 Replies
8K Views
Nmekuwa very disappointed baada ya process nzima ya uombaji mkopo wa elimu ya juu kuwa incomplete na imeandkwa kureapply mpaka november 1 2019 hadi november 11 2019 ambapo muda wa masomo kuanza n...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
kwema humu nina S7 edge Samsung lkn sion radio bila ya kutumia Internet nafanyaje niweze pata radio ya kawaida tu
0 Reactions
1 Replies
624 Views
Wadau kwanin PCB wengi wana one na wamebaki kitaa?
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, amewataka wanafunzi waliokuwa wanasoma shule binafsi kwa udhamini wa wadau mbalimbali watapewa mikopo na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Kuna bwana mdogo wangu alipata multiple selection kwa kwa third round, alipata UDOM na SAUT Mbeya lakn aka confirm UDOM (BAED) sasa anauliza kuhusu admission letter kuwa hajatumiwa kwenye profile...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Tanzania Ruled Child Marriage Illegal 3 Years Ago. Now It's Trying to Reinstate It. Activists are fighting to ensure the ban remains in place and is finally enforced. By Daniele Selby JULY 26...
0 Reactions
1 Replies
664 Views
TAARIFA MUHIMU KWA WAOMBAJI MIKOPO KWA 2019/2020 Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwajulisha waombaji wote wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2019/2020 kuwa kwa sasa HESLB...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi kwa maisha ya chuo chuo, kukaa hostel mfano pale mabibohostel-udsm au marianyererehostel-mzumbe na yale maisha ya kuamua kukaa gheto ni yapi ambayo yako bomba zaidi?...kwa kuzingatia suala la...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Habarini za wakati huu...! Mdogo wangu amepata multiple selection ktk third round iliyotolewa na TCU, programme alizochaguliwa n km ifuatavyo; 1. Bachelor of science in molecular biology and...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba ushauri naitaji kusoma lugha ya kigeni 1 au mbili naomba ushauri ni lugha gani ni bora kusoma hasa ukizingatia soko la utalii lilivo kwa sasa hapa Tanzania kwa wenye taaluma.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni msaada kidogo wakuu...nimepangiwa IFM third round ambapo niliomba fuculty tatu TAXATION,INSUARANCE AND ACCOUNT..na majibu yamekuja kwamba you are sellected bachelor degree...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndg poleni na majukumu, NILICHAGULIWA MULTIPLE(SAUT&KIUT) 2nd round nikahitaj kwenda KIUT lakini kwa bahat mbaya Nilikua na request confirmation code kwnye akaunt Yang ya SAUT nkajisahau nkafanya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni kijana ninasoma ngazi ya diploma mwaka wa kwanza katika chuo cha ualimu tabora nachukua CHEMISTRY and BIOLOGY. Nilitafuta shule nikafundisha nikapata hela kidogo ya kuanzia muhura wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Week kadhaa sasa ukifungua inaload tu,department ya informatics mmekuja kulala au sio
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndugu, nasikia kuna taarifa za kuangalia account uloombea mkopo kama ipo co\incomplete. je hili lina ukweli?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau wa jf naomba msaada kwa kuangalia soko la ajira kati ya kozi ya diploma ya phamacy na bachelar ya human nutrition ipi bora nisome kwan nimechaguliwa izo mbili kwenye vyuo viwili tofauti
1 Reactions
4 Replies
821 Views
Natafuta shule inayofundisha pre-form one iwe ya BOARDING iwe ▶DAR ▶PWANI 0654327260
1 Reactions
0 Replies
781 Views
Back
Top Bottom