Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
KIU ilikuwa na Matatizo 30 Huku Tatizo Kuu likiwa Kutokuwa na Usajili kwenye Mabaraza ya Taalumu. Tatizo hili liligundulika mara baada ya watu waliohitimu Diploma ya Famasia kunyimwa Ajira na...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wana JF naomba kufamishwa: 1) Mwaka jana 2018 chuo cha lugalo kilifungiwa na nacte. Naomba kufahamushwa kama kimeruhusiwa kufanya udahili tena. 2) Nilijaribu kumtuma mtu akanichukulie form ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wadau naombeni ushauri,binti darasa la tatu kaenda shuleni na viatu ambavyo mwalimu anadai havitakiwi shuleni,mwalimu amemchapa sana tuu kwa.sababu hiyo, hivi hili kosa mtoto alistahili adhabu...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nataka kujua chuo bora cha kufundisha cren
0 Reactions
2 Replies
926 Views
Tanzania Aviation University College (TAUC) wanafunzi tulosoma apa tunapeta tu baada ya Dreamliner kutua. Mungu bariki tumepata kazi tonge linaingia mdomoni
3 Reactions
53 Replies
50K Views
Habari wakuu , Kama jinsi inavyojieleza hapo juu ,,, msaada unahitajika
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu. Nina mdogo angu amehitimu kidato cha nne(division 4 ya point 28). Anahitaji kwenda VETA. yeye binafsi anapendelea driving course. Nimekuja kwenu kuomba ushauri mnisaidie course ambayo...
0 Reactions
1 Replies
867 Views
Naomba mnisaidie kama naweza kuhama chuo cha TEKU - Iringa kwenda St John dodoma. Na mkopo je waweza kuhamishwa?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
habari wanjf nimeona sehemu kwamba kuna hii shule tanga ambayo ni nzuri mwenye info zake please je ina hostel na inapatikana tanga sehemu gani na ada zake zikoje thanks in advance
0 Reactions
2 Replies
4K Views
naomba kama kuna mwana chuo Wa mzumbe ani saidie joining instruction 2019
0 Reactions
6 Replies
752 Views
Habari za muda wadau. Naomba kujua kati ya aliyepita chuo(kuanzia certificate) Na aliyepita advance Nani anaurahisi kwenye kuajiriwa. ?? Msaada tafadhali.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari za wakati hu watanzania wenzangu. Samahani nimekwama,Kuna dogo kaniomba nimtafutie joining instructions form/admission form ya masasi clinical officers training collage. Nimeitafuta sana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu nina mdogo wangu wakike ana hii bachelor kutoka Chuo kikuu cha Dodoma kwa mwenye kujua wapi atapata job haraka anijuze.
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habar wana JF Niimechaguliwa katika vyuo viwili TIA na IFM course ya uhasibu, nilikuwa nataka ushauri wapi wapo compitent ambapo kunamjenga mwanafunzi kujiajiri au kuajiriwa. Naombeni msaada
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Habari wadau, bachelor degree in accounting and transport finance ni course inayopatikana NIT, sasa nauliza INA utofauti gan Na bachelor of accountancy inayotolewa Na vyuo vingine hap Tanzania.
0 Reactions
20 Replies
12K Views
Tayari majibu yameshaanza kutoka mnaombwa kutembelea kwenye profilw zenu kuangalia majibu yenu
4 Reactions
34 Replies
6K Views
Mwenye kukifahamu hiki chuo naomba anisaidie details za hapo, mazingira yalivyo na gharama za maisha zilivyo Au kama kuna chuo kingine cha bei nafuu kinachotoa kozi ya pharmacy waweza nieleleza
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau! Nimefanya mtihani wa kidato cha nne mwaka 2018 kama private candidate ili kuendelea na kibarua changu shirika la uma. Imefikia pahara cheti kinahitajika nimekuja kwenu kuuliza kwa mwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1.Hstoria. "African origin if civilisation" by cheikh anta diop Hiki kitakufundisha histori(hata kama unafikiria unajua) Vingine baadae.
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wana uzi,naomba mwenye paper au kitabu cha Additional mathematics kwa kidato cha pili,nimejaribu kutafuta mitandaoni,tetea na kwingineko nimekosa,km unayo naomba share nami. Ahsante...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom