Guys p poleni na majukumu
Nina mpango wa kujiunga na sheria ngazi ya cheti katika chuo hichi cha mzumbe
Nilikuwa nauliza kwa mwenye uzoefu na mazingia ya pale. Upatikanaji wa materials...
Haya mdogo wangu ameniambia tayar admission letter ameshapata chakufanya ingieni kwenye account zenu mpakue faster kama una bundle la kusua sua nenda internet cafe
Kingine kama unamaswali kuhusu...
Habari wanaJF,
Nina mdogo wangu anataka kuomba Bachelor degree mwaka huu wa masomo 2019/2020.
Malengo yake baada ya kuhitimu shahada yake sio kuajiriwa ni ajiajiri je?
Kati ya Bachelor in...
wasikukatishe tamaa as sio combination nzuri !!!!! iko vizuri and ina future nzuri as unaeza soma kozi nyingi chuo kikuu as MD,pharmacy , geology,architecture, BVM ,kozi nyingi za SUA ukitoa kozi...
Kuna binti amethibisha kujiunga na hicho chuo tawi la Singida,sasa kwenye akaunti yake ameelekezwa kuanza kujiandikisha lakini akibofya sehemu ya kujiandikisha mtandao wao unajibu IP sever not...
Siku chache zilizopita darasa la saba wamemaliza mitihani yao mwisho. Hongereni watoto wote na pia wazazi na walimu. Hongera kubwa kwa jamii yote iliyowapa nafasi watoto kusoma kwa utulivu.
Wazazi...
Wakuu msaada tafadhali..mimi nilichaguliwa saut mwanza mass comunication lakini hiyo ndo ilikuwa choice yangu ya mwisho..cha ajabu nimekuta tayari wamenisellect na kuconfirm..lakini nikitaka...
Habari zenu wakuu,
Naombeni msaada wa majina ya vitabu vizuri vya masomo ya History na Economics kwa level ya advance. Ikipendeza zaidi niwekeeni na bei zake sokoni.
Asante.
Habari wana jf hapo nyuma kabla ya kuanza maombi ya vyuo niliomba ushauri kuhusu course gani ni nzuri kusoma kati ya journalism na Human resource nimepata Human resource Mwalimu nyerere (MNMA) na...
MAMBO YA MSINGI SANA KUYAJUA ILI UISHI NA WENZIO VIZURI.
1. Epuka hasira za ovyo na kila mtu, kuwa msikivu kabla ya kukimbilia maamuzi (elewa kuwa ukiwa na hasira huwezi kupata suluhu ya jambo)...
Habari wakuu
Kuna mdogo wangu hapa,ana grade zifuatavyo
PHYSICS. D
CHEMISTRY. C
BIOLOGY. B
Kenye round one na two zote alijaribu vyuo vyote vya afya hapa nchini,kwa kozi za MD, PHARMACY...
Natumaini hamjambo ndugu zangu wa JF
Shida yangu kubwa ni kutaka kujua zaidi kuhusu kozi ya biomedical equipment engineering ngazi ya ordinary diploma kwamba inatolewa
Katika vyuo gani hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.