Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari jamani,ninatatizo apa matokeo ya chuo yanachelewa kuwa confirm na nacte ili nipate AVN NUMBER niapply kozi za degree sijui nifanyaje km Kuna njia yoyote msaada jamani
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu mdogo wangu kachaguliwa hizo DEGREE program Nursing ni Udom na Bugando na Lab technology ni KCMC anataman kujua asome hipi na kwanini... Ufahulu wake alikuwa na Division 1:9 Phy D, Chemi B...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari,mwenye ufaham zaid kuhusu ada ya BBA pale chuo cha NIT kwa ngazi ya degree!
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Nianze kwanza kwa kueleza kuwa nimekuwa na passion kubwa ya kujifunza programming tangu nilipomaliza kidato cha sita . Hivyo basi nikaamua kujiunga na course ya bsc Software engineering ambayo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Chuo hakiwezi kucreate fast web page yenye kuzungumzia Masters program zinazofundishwa hapo chuo, hivi kweli mtaweza kufundisha masomo kama vile Advanced object oriented programming au Artificial...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Jaman naomba msaada kuna chuo nimechaguliwa lakin system yao inagoma kuCANCEL ADMISSION na mm stak kusoma hcho chuo, nmewasiliana nao et ndo mfumo wao ulivyo huwez kucancel nifanye nn ili...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Je siku ya kwenda kujisajili chuo ni lazima kwenda na birth certificate? Je ni vitu gani vingine vya muhimu wakati wa kujisajili chuo? Naombeni msaada wenu wadau.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Tafadhari mwenye uelewa na kozi tajwa aniekeze vipi ina soko, ajira, mahitaji, competition kwenye ajira, n.k Nimechaguliwa hiyo kusoma pale SUA but sina uelewa nayo sana
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wana jamii . Naomba kuuliza . Mtoto wangu anayefanya mtihani Leo Wa darasa la saba . Wameambiwa katika.mtihani asije na pen .mtihani itafanywa na pencil . Je hii nisheria ya wizara? Kufanya...
2 Reactions
42 Replies
6K Views
Ndugu wana JF, Nawasalimu wote Naomba tushiriki katika utafiti huu mdogo juu ya hiki chakula na kwa sababu sitaki watu wawe biased sitapenda kufafanua zaidi utafiti huu umelenga nini hasa. Ila...
0 Reactions
8 Replies
12K Views
Msaada plz wadau, hv mafao ya uzazi kwa mama wanakokotoa vp i.e kikokotoo chake kipoje ndugu zangu? Msaada wadau anayejua
0 Reactions
2 Replies
549 Views
Shikamoo baba na mama, natambua mna furaha iliyo kuu Sana kwa kuwa wadogo zangu wamemaliza masomo yao ya shule ya msingi. Hivi ndivyo vitu mtakavyowaambia waambieni wasianze kuzagaa mtaani...
0 Reactions
1 Replies
892 Views
Naomba msaada kufahamu requirements zinazohitajika ili mtu aweze kupata internship nje ya nchi kwenye maswala ya kilimo Sana Sana
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Jaman Samahani kwa walioomba chuo cha udom awamu ya tatu je kuna kulipia au ni bure mana ad namaliza application na kusubmit hawajanipa control number wakati usipolipia huwez ingia kwenye...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Gharama ya kumwangamiza mtu ni kubwa kuliko gharama ya kumuokoa. Inapotokea labda mwanafunzi 1st yr ana GPA ya 2.5 na second yr ana GPA ya 2.2 lakini 3rd yr akadondokea mathalani kwenye GPA ya 1.6...
4 Reactions
52 Replies
8K Views
Habari wakuu Nmechaguliwa tarakea high school iliopo Kilimanjaro mchepuo wa pcm Kwa waliosoma hapo na wanao ijua naomben uzoefu kuhusu mazingira
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu naomba kwa anayefahamu chuo kizuri cha utalii kwa Arusha., kiwe mjini. Pia pamoja na ada zao. Nilizoambiwa ni Key field na Tropical ila sina uzoefu navyo. Mwenye kujua zaidi naomba anijulishe.
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Great thinkers, Uwalimu wa sayansi mkopo lazima hatakama ulisoma private naomba mnijuze jamani
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Lengo la uzi ni kuwapa moyo vijana wanaoendelea na masomo yao na wanaokaribia kuanza masomo yao. Maana kumekuwa na maswali mengi kuhusu uzuri wa degree program nzuri. Ni vyema ukataja ulichosomea...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
kuna msanii mmoja wa bongo flava aliwahi kusema kuwa "vyote kushoto na kucheka kinyume chake ni kulia" wanafunzi wa Arusha Technical College(ATC) waliamini mwalimu kutaka rushwa ya ngono kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom