Habari ya majukumu dada na kaka zangu. Samahani Naombeni mwenye mtihani wa English language form four uliotungwa kwa kuzingatia format mpya (2019) anisaidie. Natanguliza shukran
Habari za usiku huu wakuu. Kama kichwa cha thread kinavyosema, ninahitaji past papers, links zenye maswali pamoja na documents maana nipo kwenye maandalizi ya mitihani hii. kama utakuwa na uwezo...
Bachelor of science in microbiology
Jamani naomba msaada anko wangu kapata chuo kozi anayoenda kusomea ni hiyo hapo juu naomba kama kuna wenye ufahamu vizuri na hii kozi na matokeo yake mbeleni...
ninataka kusoma moja kati ya hizi ila naombeni kujua ipi ni nzuri kujiajiri na rahisi kuliko nyingine,na je Nurse anaweza akajiajiri katika ajira ya umiliki na uuzaji wa duka la dawa za binadamu...
Habari wana JF , nakuja kwenu kuomba ushauri juu ya uwezekano wa kuhama chuo, nili apply suha lakini nashangaa nimetumiwa email ya admission na chuo cha st.joseph songea, mbali na kozi kua tofauti...
Nina kijana Wang amemaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata daraja la pili yaan dvsn 2 ya 11 kwa mchepuo wa HGK kwa alama zifuatazo History, D GEO, E, kiswahili B anaweza soma kozi gani?na jee...
Wadau wa I.T
Ningependa kujua kama kozi inayo tolewa RUAHA CATHOLIC UNIVERSITY == COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING inahusika na ENGINEERING REGISTRATION BOARD
Wakuu hope mko vema.
Mtumishi wenu sina mwanga kabsa kuhusu hio College of Earth sciences hasa Environmental Engineering kwa UDOM naomba mwenye knowledge kidogo hapo tusaidizane.
Shukran
Habarini za jioni ndugu na wanajamvi wenzangu, poleni na mihangaiko ya siku nzima. Natumaini salamu zangu mmezipokea.
Nimekuja kuomba msaada wa ushauri wa kitaaluma kwa anayefahamu kuhusu suala...
Kwa wale ambao wamesoma diploma ya CS IFM naomba mnipe ushauri.
Nimemaliza form four 2018. Div 2-18. Nime apply cert ya information and technology kwa lengo la kuja kusoma diploma ya CS hadi...
Jamani wapendwa naombeni msaada mwenye uelewa kuhusu Bachelor of Animal Science. nataka kuelewa kuhusu ajira zake pamoja na jinsi ya kujiajiri.
Natanguliza shukrani zangu
Wadau msaada naomba kujuzwa kama ni kweli mtu akisoma diploma ya ualimu kwa masomo kama physics na mathematics au chemistry na bios anawez kwenda kupiga degree ya medical doctor . Natanguliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.