Nimechaguliwa chuo cha kairuki kozi ya MD, mkopo nimepewa wa meal and allowance bas, nimekwama ada maana ni million 7. Je naweza kwenda nikalipa kidogo then nifanye transfer ya chuo kingine, je...
Habari za mchana nacte wametoa selection zote kwa urahisi sana ingia kwenye page yao kwa wale ambao walikuwa wanasema haoni chochote. Mlete mrejesho pia kila laheri
Nipende kuwapongeza kwanza wale wote waliopata nafasi ya kuchaguliwa katika chuo kikuu cha Dodoma(UDOM).
Pia niwapongeze wale wote waliochaguliwa course hii ya bach of science in multmedia...
Samahani wakuu naomba msaada kwa yeyote anayeielewa course ya Bachelor of arts in anthropology,misingi yake na hatima yake baada ya kuisoma unaweza kuja kuwa nani?
Natanguliza shukrani.
Nilituma maombi kwa njia ya online kwa kozi ya Clinical medicine naomba mnipe njia mbadala za kufany I'll nipate chuo cha serikali
Natanguliza shukrani kwenu
habari zenu wadau...nimechaguliwa Ardhi kozi ya B.a in econmcs...nipo arusha,nackia kupata hostel chuoni ni ngum sana ukizngatia tumechaguliwa wengi..so mwnye uwezo wa kunisaidia khs upatikanaji...
Waungwana kuna jamaa yangu nlimuombea vyuo(vyote alipata)kimojawapo ni chuo hiki sasa kilichelew kutoa majina ya first round wakasema watayaambatanisha na ya second selection cha ajabu majina...
MSAADA tafadhari
Nmechaguliwa St. Augustine Mbeya na Stella Maris Mtwara nijuzeni jamani hali ya maisha kiujumla na gharama za vyumba maeneo hayo ili nijue wapi ni-confirm isije ikala kwangu.
HP Probook 430 G1
Its Portable
Screen size:13.3-inch diagonal HD LED-backlit anti-glare (1366 x 768)
RAM: 4GB
Processor core i5 4th Generation i think
HDD: 500GB
Intel HD Graphics
Flexible...
Habarin,wadau mm ni mwanafunzi niliyemaliza form IV mwaka juzi nilikuwa ninatak kusom koz ya ICT kwa ngaz ya cheti,ila kuna kitu kinanitatiza maan kuna watu wananiambia hii koz n yeboyebo,watu...
Baada ya kuwaambia vijana kuwa kuna fursa kwenye Nursing na wengine kutueleza kuwa jibaba haliwezi kusomea Nursing, leo nimeangalia selections za UDOM round One na Two (wasiokuwa na multiple...
Wakuu ni matumaini yangu mko poa...
Kama heading inavyojieleza,naomba kufahamishwa namna ya kupata likizo ya bila mshahara kwa watumishi wa serikali kada ya Elimu,nimepata scolarship ya kwenda...
habarini humu ndani? ningependa kufahamu au kupewa maelezo kwa yeyote atayokuwa nayo, kuhusiana na akaunti za udom kutokufunguka na kuambiwa tumekosea passowrd ilihali password azjakosewa and pia...
Jamani watoto wa siku hizi Kwa kuchukulia mambo easy, amesoma PCB akafaulu 1.8 Yani
P-C
C-B
B-C
Alitaka soma medicine, pharmacy au nursing.Sasa alijaza kozi hizo akachanganya na zingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.