Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Kama kuna aliyechaguliwa chuo cha mipango dodoma round 2 tunaomba atusaidie hyo attchment tafadhari!!
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Naombeni msaada wenu ,mi natarajia kuanza masomo ya level ya degree ,sasa najua kila hatua inamikakati yake,nilivyozoea kusoma secondary(Advanced) najua itakuwa tofauti kidogo na chuo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Je kuna MTU alie omba vyuo vya diploma ualimu kwenye vyuo vya Mpwapwa Tc, Songea Tc na kwenye status yake akapataaaa??? Naombeni majibu maana mi sijaona chochote kwenye profile yangu??
0 Reactions
2 Replies
620 Views
Ninaomba kufahamishwa kwa mwenye kufahau, kuhusu ratiba ya nacte.Je nitajua kama nimechaguliwa tarehe 15/9 ambapo wamesema ni "online submission of selected students to nacte"? Au ni mpaka ifike...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
The Times Higher Education World University Rankings 2014-2015 list the best global universities and are the only international university performance tables to judge world class universities...
6 Reactions
51 Replies
11K Views
Haya ni mambo 8 ambayo huwezi kufundishwa shuleni: 1. Maisha hayako fair. Yazoee. Unaweza kufanya kazi sana ila ukakosea kidogo tu usifanikiwe lakini mwingine ukaona hafanyi sana ila anafanikiwa...
5 Reactions
5 Replies
967 Views
Haya ni mambo 8 ambayo huwezi kufundishwa shuleni: 1. Maisha hayako fair. Yazoee. Unaweza kufanya kazi sana ila ukakosea kidogo tu usifanikiwe lakini mwingine ukaona hafanyi sana ila anafanikiwa...
1 Reactions
0 Replies
533 Views
Hii hapa List ya Vyuo Vyote Tanzania Vilivyotoa List ya Majina ya wanafunzi waliodahiliwa katika awamu ya pili NB; Hii thread itakua UPDATED Kulingana na Vyuo vitakavyotoa majina *Unaweza kupata...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Wakuu hv hii course ya bachelor of education in adult education Mtu akiisoma soko lake la ajra lpoje? Na Mtu atafanya kazi gan baada ya kuhitimu mafunzo?
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari za asubuhi?Tcu wametoa majina ya wanafunzi waliochaguliwa chuo zaidi ya kimoja awamu ya pili na ambao hawakuthibitisha kujiunga awamu ya kwanza.
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 nilimaliza kidato cha nne mwaka 2002 na kufanikiwa kupata division1 ya 14 na nikafanya Advance level mwaka 2006 PCM na kupata division 2 ya 12 (Phy E, chem C...
2 Reactions
66 Replies
15K Views
Hatimaye selection round ya pili bachelor zimetoka ingien kwenye saris zenu
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu naomba mwenye link yenye mitihani ya majaribio darasa la saba .natanguliza shukrani
1 Reactions
15 Replies
5K Views
nina ndugu yangu kamaliza form six cbg, kaambiwa hawezi kusoma pharmacy wala medicine, (udaktari) kwa kombi hio kisa hana physics kwenye kombi yake. na yeye kaamini, wakati dogo huyu ndio ndoto...
2 Reactions
23 Replies
10K Views
Habari zenu wakuu mimi nimepangiwa bachelor of science in quantity surveying lakini nataka kubadilisha nifanye geomatics mna ni shauri vipi hapo nibadilishe au ni baki na hiyo niliyopangiwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Wasomi, habari zenu Naomba niende kwenye mada moja kwa moja. Naomba kuuliza hivi unaweza kuomba Masters scholarship zinazo tolewa nje ya Africa, kupitia matokeo ya Postgraduate Diploma? Je, kama...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Maisha yana nyanja nyingi Sana za kutokea japo wako wanaona kuwa ukifeli shule umefeli maisha kitu ambacho si kwel! Kama hili lingekuwa kweli basi walimwengu wote wangekuwa wasomi Unalotakiwa...
2 Reactions
2 Replies
803 Views
Jmani napenda kuuliza kwa wale walioomba kubadilishiwa course Na chuo nawakatumiwa ujumbe toka nacte kuwa wamefanikiwa kubadilisha chuo/course Je ni taar wameshachaguliwa mojamoja kwenye chuo...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Please moderator , can you turn me to a verified user. The provided personal details here below are correct . Name: David Jeremiah Profession ; teacher Email; jeremiahd58@yahoo.com The pic on my...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari za asubuhi ?selection za nacte zimetoka angalieni account zenu kwa aliyeomba ualimu na afya kwa kulogin utaona status yako ilivyoandikwa.
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Back
Top Bottom