Fee structure kwa Masters for science program chuo cha SUA including research funds ni shilingi ngapi mpka unamaliza??? Naomba kufahamishwa kwa anayejua
Asante 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Kwa wale waliosoma/ wanasoma chuo cha usimamizi wa fedha (IFM) naomba mnijuze kama ni kweli ni haki ya mwanafunzi kuongezea alama 1 katika somo alilopata 39, endapo alama hiyo moja akiongezewa...
Naomba kujua wale waliofanya uhamisho nacte toka vyuo walivyokuwa wamechaguliwa hapo awali kwenda vyuo vipya utaratibu upoje kupata joining na taratibu zingine za kujiunga, maana kuna vyuo kama...
Leo nimefanya utafit wangu nimegundua kuwa wanaoomba vyuo awamu ya pili ni kama wanapoteza muda tu coz vyuo asilimia 98 vimeajaa
Nimechukua TCU GUID book na kuangalia CAPACITY ya idadi ya...
Habari JF naomba ushauri nina ufaulu wa alama
Kiswahili C
English C
Geography D
History D
Civics D
Biology D
Je ni cozy au chuo gani kitanifaa zaid kulingana na ufaulu wangu?
Habarini, kwa mtu yoyote mwenye kupata shida au swali kwenye application za Masters udsm unaweza kuniuliza swali nikakusaidia, au kama unahitaji maelezo kuhusu courses ambazo ni computer related...
kuna pc mpya inapigwa bei poa ikiwa na vigezo vifuatavyo
aina ni samsung
Hhd 750GB
ram 4GB
processor 2.5ghz
wabcam camera
wirless na antivirus for 2 years
nipo pande za muhimbili unvsty...
Kuna mtoto ameomba muhas second round wakamtumia status kwenye accoujt yake kuwa not selected kwenye course alizoomba, leo anaingia kucheki ule ujumbe haupo tena, hii nini maana yake sasa kwa...
Kwa sababu zipi chuo kikuu cha mzumbe wamechelewesha majibu sahihi ya udahili kwa wanafunzi awamu ya pili?
Kwa mwenye majibu sahihi hili kusaidia wanafunzi kuelewa na wasiwe na haraka na...
Nimepitia selections za vyuo mbalimbali nimeona kuna kozi ziko tight watu wameshona hatari wakati kozi zingine bado zinapwaya.
Kwauchache zifuatazo ni kozi ambazo zinaongoza kwa ushindani.
Kozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.