Chuo kikuu cha Dodoma mbona technical team hampo serious kiasi hiki?
Tangu application second round imefunguliwa tarehe 21/08 mmekua hamueleweki,
mwanza server yenu ilikua chini, watu...
kama kichwa kinavojieleza niana ndugu ambae ame aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya...
Habari wana jf.
Mtoto wa mwenye nyumba amefanya mtihani wa pre national juzi.Sasa Katika mtihani huo kulikuwa na swali ya mathematics ambalo hata walimu wake wamelishindwa dogo na Mama ake...
kama kichwa kinavojieleza nina ndugu ambae ame aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya...
Habari wakuu
Kwa mwenye ufahamu wa ada halisi ya Lugalo atuambie maana nimepata joining yao inaonesha ada ni zaidi ya milioni 2 kwa mwaka,halafu kwenye guide book ada ni 1,130,400 sasa najjuliza...
Habari wanaJF,
Hasa wale mliosoma Usagara
Karibun tujikumbushe mambo mawili matau tuliyoyapitia
nimewamiss................ticha kisinza,seth,na wengine wengi
nimemiss ile system ya self service...
Habari zenu wadau..I hope mko poa,Kuna chali'angu mmoja tumesoma wote Arusha Secondary ila yeye hakuendelea A Level na aliishia tu Form4 akaamua kwenda chuo mwaka 2017,Ali'apply SAUT Mwanza...
wadau mada kma inavyojieleza niende kusoma kozi ipi kati ya hizo mbili na manufaaa yake huko mbeleni.leo ndo mwisho wa kuthibitisha.......mawazo yenu tafadhali kwani nimekwama
Watu wengi ambao hawakusoma ualimu ndio wanaojua vizuri masomo ya hisabati, kemia na biolojia, Tatizo mfumo uliopo ndio uliwafanya wasome kozi zingine, Ukichukua watu waliosoma Engineering au...
Katika maisha ya kusoma tulipitia Changamoto nyingi sana hasa kwa masomo ya sayansi, kukosa walimu au mwalimu kushindwa kulimdu somo vizuri.
Hapo mwanza kuna mwalimu anaitwa Mwl Michael...
Ndugu zangu jukwa hili nafahamu nila siasa lakini nimeona swala hili niliweke hapa kulingana na malalamiko mengi ambayo yamejitokeza kwa wanafunzi MBALIMBALI hususani katika chuo Cha (MOCU) MOSHI...
Jamani naomba kufahamu, udahili wa vyuo awamu ya pili wanazingatia sifa gani ambazo ni tofauti na awamu ya kwanza? Au ndo wanajaza nafasi tu zilizo achwa na wale waliothibitisha vyuo tofauti...
Wakuu habarini za leo nahitaji msaada nawezaje kupata notes za biology na chemistry ni application gani ni nzuri..?. Kwa Advanced students
Note:zisiwe za online
Zisiwe za kulipia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.