wazazi wenzangu.
naomba mwenye kufahamu muundo wa karo za hii shule anisaidie nataka nianze kujiandaa kisaikolojia na kilasirimali mapema binti yangu anakaribia kuingia darasa la pili.
inchaji.
Wale wa Udsm, mambo tayari huko.wale wa September tujuane hapa...wale tuliomaliza Chuo pia tunaweza share experiences zetu kuhusu mwez september😀
SEPTEMBER TO REMEMBER
Mwenzenu Niliomba udom ila kuna sehemu paliandikwa kuambatanisha cheti ila sikuelewa wanamaanisha cheti cha diploma,foundation, six au cha form four yaan sikuelewa kabisa nikashindwa kuambatanisha...
mtoto wangu ana ufaulu wa EDD,PCM ni msichana .round ya kwanza tulijaribu ardhi,udom,mzumbe na udsm kwa course za information system ,bcom (udsm na building economy ardhi tumekosa zote.tumejaribu...
Habar za muda huu wajomba na mashangazi, kwa wale mliosoma Open University bachelor of science in ICT, kuna course ya mwaka wa pili imeandikwa kwenye website ya OUT kwa jina hili " environmental...
Wakuu habari zenu
Poleni saana na majukum ya kuijenga Tanzania ya viwanda. Na tuendelee na duah kuiombea ndege yetu iliyoshikiliwa bondeni kule iachiwe maana bila ile ndege itakuwa ngumu sana...
wakubwa.
mwenye kufahamu muundo wa karo shule ya wasichana st. francis forest mbeya anijulishe.
nina shida nayo sana nina binti yangu nataka nianze kujiandaa kisaikolojia.
inchaji.
Naomba kufahamu utaratibu baada ya kupewa mkopo chuoni, siku ya kuripoti watakutambuaje kama umelipiwa tuition fees na HESLB je, na utapataje accommodation???
Wakuu nitajieni apps nzuri kwa mwanafunzi ili nizipakue
Pia nitajieni vifaa muhimu vya stationery nikanunue ikiwemo aina ya peni nzuri ,penseli ,highlighters na vitu vingine muhimu vya...
Kwa wanafunzi wa A-level tu ( kidato cha 5 & 6 )
Katika somo la ADVANCED MATHEMATICS
(PCM, PGM, EGM)
MAHALI
Centre ipo buguruni rozana mtaa wa bahatisha, usawa wa dereva tax kama unaelekea...
Msaada tutani wadau. Dogo alichaguliwa UDOM, BCom. Haku confirm wala ku-cancel. Sasa anataka ku cancel admission kwasababu interest yake ni kusoma Uchumi. Na kwenye portal ya UDom hakuna sehemu...
Kuna maswali 6 ambayo wanahisabati wanahangaika kuyaprove na unapofanikiwa kuyaprove kuna zawadi ya almost usd 1000000(not very sure of the figure)
Wanajf fursa hii mimi nahangaika na moja...
Ofisi ya Rais Tamisemi imetangaza uchaguzi wa pili kwa wanafunzi wa kidato cha nne 2019 ambapo wanafunzi 1,674 wamepata nafasi huku 187 wakikosa nafasi.
Waziri wa nchi ofisi ya Rais Tamisemi...
Second Selections za Form Five zimetoka. Zipo kwa PDF, Link ya TAMISEMI ni http://www.tamisemi.go.tz/storage/app/media/uploaded-files/second-selection-2019.pdf
mtoto wangu ana ufaulu wa EDD,PCM ni msichana .round ya kwanza tulijaribu ardhi,udom,mzumbe na udsm kwa course za information system ,bcom (udsm na building economy ardhi tumekosa zote.tumejaribu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.