Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Waungwana habari zenu? Mimi ni dereva na niko na uzowefu zaidi ya miaka 10 kwa magari tofauti. Sasa nataka niendeleze huu ujuzi kwa kusoma kozi mbili hizi 1 fundi umeme wa magari 2 kue desha...
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Huyu ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (mlimani), ni binti ana miaka karibu 26 sasa. Ni mwaka wa kwanza kabisa, mwaka Jana ndipo alipojiunga na chuo hicho. #point ya msingi :matokeo ya...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wana wa jamii forum. Naomba kuuliza swali ; Kwanini anga huwa linaonekana rangi ya blue wakat wa mchana iwapo Kama hakuna mawingu? Asante.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
wanatoa lini majina ambayo yamekosewa wakati wa kuomba mkopo wa heslb kwa mwaka wa masomo 2019
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani naombeni msaada kwa yeyote anae jua au anaesoma chuo cha kilimo mati-ilonga morogoro mimi nilituma maombi sasa sijui ndo bado majibu hayajatoka au mimi sijaona ,anaejua tafadhali anisaidie
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Msaada wa pendwa cheti changu cha Diploma kimungua kwa ajari ya moto, nimekwama baada ya kushindwa kupata muongozo kutoka kwenye website ya NACTE. Ni kiasi gani cha fedha na muda wa kupata hicho...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari waungwana msaada wenu dogo orodha ya wanafunzi waliochaguliwa hayupo ila akifungua akaunti yake anapewa congratulations kwa kuchaguliwa vipi hapo afanyeje
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Natafuta mwenyeji Makambako nimepangiwa internship huko TARURA kama kuna mtu yupo tayari anicheki 0763454261..
0 Reactions
1 Replies
825 Views
Wadau eti nani anajua vizuri hii course na je ina ajira? Na ina tofauti gani na bcom in finance kwa pale udsm?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Poleni kwa ambao mpaka muda huu bado hamjapata chuo, Endeleeni na round 2 mtapata vyuo maana vipo kwa ajili yenu. Kwa ambao tayari wamepata vyuo na wamechaguliwa kusoma sheria.....Law (LLB)...
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Mtoto wangu ana Umri wa miaka 5 sasa anasoma shule moja ya English Medium. Mbali na ada ya mwaka kiwa tsh 3,000,000. Kuna udambwi dambwi mwingi sana mpaka sasa nachoka kwa usumbufu. Kila baada ya...
26 Reactions
0 Replies
812 Views
SWALI: Assalaam alaykum. My dear brothers. My question is.is it possible to my Sunnah prayers, while reading the suraz by holding the holly Qur'aan in my hand? I did not memorize those suraz, I...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza kwenye system ya UDOM online application unapojaza ikifika katika ku-select applicaton level inatokea option moja tu ya graduate Kama kuna mtu anafahamu namna ya ku apply...
1 Reactions
36 Replies
12K Views
Wadau habari, Naombeni msaada mnijuze ubora na soko la ajira kwa KOZI zinazotolewa na chuo cha ushirika Moshi hasa ile certificate ya distance learning. Angalizo: nimeambiwa tuu sasa naona kabla...
0 Reactions
64 Replies
19K Views
Wakuu sana salaamu! Nikiwa kama mdau wa masuala haya muhimu ya elimu kwa maendeleo ya jamii na taifa letu pendwa katika kufatilia kwangu nimeona hawa NACTE safari hii wameanzisha utaratibu mpya...
4 Reactions
14 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu Samahani kwa wale ambao washafanikiwa kuapply udom kwenye sehemu ya ku upload attachment unaweka zipi? Je ni a-level certificate na o-level kwa kipengele cha certificate award...
0 Reactions
2 Replies
801 Views
habarin jm nina shida katika account za muhimbili yaan sio moja ni wanafunzi wawili. kila nikijaribu kuingia wanasemma incorect password nmejaribu kureset pia wanasema username is not found na...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Polen na majukumu ya kila siku, Nina mdogo wangu amechaguliwa kusoma BSc in Nursing, Rafiki yangu mmoja ambaye tulisoma nae O level ni Nesi ngazi ya cheti amenieleza uuguzi haufai kwa tanzania...
1 Reactions
40 Replies
10K Views
Guys naomba yeyote mwenye ufahamu juu ya hii kozi anijuze like masomo yapo mangapi n.k
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Tunatafuta chuo au popote wanapotoa mafunzo ya computer microsoft word, excel ,graphics kwa angalau miezi mitatu. Ni F4 leaver wa miaka mitano iliyopita. Anataka kufungua stationary December...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom