Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
kwa matokeo haya Phy C,Chem B, Bios D,Math C, Eng C kwa vyuo hivi na kozi hizi: Bugando- nursing diploma kiomboi-nursing tech certificate lugalo-clinical medicine diploma msaada wako pliz,hapa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu namshukuru mungu kwa afya na uzima ninaomba ushauri nimechaguliwa chuo Bsc agriculture economics and agrb-SUA Bsc In laboratory science and technology-must(mbeya) Nimesoma cbg...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimeomba nipewe hyo confirmation code kutoka udsm lakn sijatumiwa hadi Leo, na deadline inakaribia, nifanyaje waungwana??
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Amechaguliwa Vyuo Viwili, Cha Ushirika Moshi (Muccobs ) katika kozi ya Business information and communication technology Cha pili ni TIA (dsm) kozi ya Business Administration. Sifa za...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
ana point 11 ya hkl kakosa round one ya selection katika vyuo vya mzumbe udsm na udom anataka ushaur wa vyuo na faculty ambazo ni less competence anazoweza apply kwa second round please mpe advice...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
C&P OFISI YA WAZIRI MKUU KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU *TAARIFA KWA UMMA* *FURSA YA MAFUNZO KUKUZA UJUZI KWA NJIA YA UANAGENZI* 1. Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Vijana Ajira na Wenye...
3 Reactions
27 Replies
7K Views
mbona mnatunyima option ya reapply sasa kama hamuitoi basi tupeni status hiyo kwenye profile zetu tujue cha kufanya maana siku zinaisha
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Naomba mnifahamishe vitu nnavyotakiwa kuvijua Kwa technician certificate in accountancy. Kuanzia muda wa course,vyuo Bora Kwa hii course,masomo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilikuwa naomba msaada hiv chuo RUAHA ni kizuri kwa kozi ya COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING maana ndugu yangu amepata hicho chuo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi Manjagata, ni mwajiriwa katika sekta binafsi natamani sana kuongeza kadigrii ka pili! Sasa nawaza kati ya hizi shahada in ipi itanifaa kwa kustafia hapo baadaye? Ya kwanza ni hii ya project...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
IFM
Eti wadau chuo cha IFM awanamfumo wakure- apply.. Sababu nimeomba awamu yakwanza lkn skuambiwa kama nimekosa au nimepata
0 Reactions
1 Replies
745 Views
HAPPYLIFE COLLEGE chenye namba ya usajiri IAE/05/0311 Kilichopo Mkoani Arusha Kinawatangazia wahitimu wa darasa la 7, kidato cha nne na kuendelea nafasi za masomo yatakayo anza tarehe 23/09/2019...
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Tangaz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna kundi kubwa la wanafunzi wanaomaliza STD 7 na Form 4 na kushindwa kuendelea na masomo. Veta kwao ni suluhisho, vinginevyo bangi na wizi mtaani vinazidi.
1 Reactions
2 Replies
881 Views
Habari zenu wadau wa elimu, Moja kwa moja kwenye mada Ni hivi kuna dogo aliomba ardhi kozi ya civil engineering, lakini majibu yametoka wamemchagua kozi ya environment engineering ambayo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Samahani naomba ama mwenye ndugu au anayesoma mwaka wa kwanza au miaka ya mbele anipatie mawasiliano yake nna shida nahitaji msaada. Mjomba wangu amepangiwa chuo kwa mwaka 2018/2019
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu wa jukwaa naombeni msaada wa format ya username kwenye application za vyuo vikuu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama bado hujafanya maombi kwa njia ya mtandao kwenye site ya nacte, nauza risiti namba ya malipo kwa sh 7,000 tu. Kwa malipo halali ni sh 10,000. Kwahiyo utakuwa umeokoa sh 3000 nzima.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sijui tafsiri ya English Medium lakini tuachilie mbali tafsiri yake hii shule ipo Tanga mjini kabisa na wakaguzi wa Elimu wapo hapo hapo mjini na wanajua yanayoendelea , mnasubiri Rais aje kwa...
2 Reactions
21 Replies
6K Views
Kwa researches zilizopo inashauriwa students wasome hizi kozi for a better future,in terms of kutegemea ajira 1.Data science 2.Language and customer care 3.Medicine 4.Civil engineering 5.MBA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom