Nilisikia diploma kwa vyuo vya serikali una weza kuomba kwa njia mbili ambazo ni kwa kupitia NECTA au CHUO HUSIKA sasa mimi nataka niombe chuo cha kibaha direct sasa tatizo linakuja sina link wala...
Ndugu zangu nimechaguliwa hizo kozi hapo mnanishauri nkasomee kozi ipi ambayo ina upana wa ajira na ata kujiajiri pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau binafs nmechaguliwa kusoma open mwaka huu ila sijapenda kusoma pale na sijui kwann TCU wamenipeleka pale wakati halikuwa chaguo langu LA kwanza JE je ninaweza kuhamia Chuo kingine na je...
Tangu usajiri ufunguliwe awamu ya pili mwezi huu agosti chuo cha UDOM hamuelekweki watoto wanahangaika kuhusu usajili mmeweka namba pale wanapigiwa sm hawapokei ukimbahatisha mmoja ukimuiliza jibu...
Kwa mliosoma mathematics chuo kikuu marufu kama MT huwezi zisahau course hizi mm naanza
NUMBER THEORY
ABSTRACT ALGEBRA
TOPOLOGY
FUNCTIONAL ANALYSIS
REAL ANALYSIS
taja zako zilizokutesa
Habari wakuu,
Nina mtoto wa ndugu yangu namsomesha Chuo Cha Utumishi wa Umma Dar (TPSC) kimezoeleka kwa jina la Magogoni..
Ni mara ya pili matokeo ya mtoto wa ndugu yangu yamebadilishwa...
Wakuu naomba msaada kwa anayeifahamu hii kozi kwa undani, ukisoma unakuwa nani, soko la ajira liko vp kwa hii kozi, na inauhusiana na nn katika jamii. Nitashukuru kwa maoni yenu.
Wakuu poleni na majukumu naombeni kuuliza ni vyuo gani mpaka sasa wanaopokea wale waliohitimu foundation program open university? Coz mpaka sasa mambo hayaeleweki kabisa nahisi open wametutapeli...
Kila chuo ninacho'apply' wanataka AVN kutoka NACTE, nime'register' NACTE na kujaza information zote zinazotakiwa, nimekuja kukwama wakati wa kujaza Index No ya FTC ambayo ipo katika mfumo wa...
Wakuu naomba msaada kwa anayeifahamu hii kozi kwa undani, ukisoma unakuwa nani, soko la ajira liko vp kwa hii kozi, na inauhusiana na nn katika jamii. Nitashukuru kwa maoni yenu.
Naomben mnisaidie facult nzur ya kusoma kati ya hiz na ajira zake maana nmeshndwa uchaguz sahii maana cyo mzoefu
UDSM:Bsc in agriculture and natural resources economics and business
ARDHI:Bsc in...
selection zimetoka na kila mmoja anajua cha kufanya swli linabaki vipi kuhusu majina ya waliokubaliwa kupewa mikopo yatatoka lini anaye jua au mwenye tetesi awajuze watu
Salama
Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara, eti wakuu kina haja ya muhandisi kusoma masters ? Na je muhandisi mwenye masters kuna reward yoyote ile kama vile kupandishwa cheo kazini ?
Selection zmetoka nmechanguliwa saut mwanza kozi ambayo nliichangua kama utani kozi vyuo vngne unachagua koz tatu tu SAS kwa chuo cha saut ni NNE sasa mi nljiandaa kwa hizo tatu kama vyuo vngne...
Kuna binti ameangukia katika kundi multiple selection anajaribu kuthibitisha hicho chuo tajwa hapo juu baada ya kutumiwa confirmation code, lakini kila akiingiza hiyo code na kukomfirm mtandao...
Jaman wakuu naombeni msaada kama kuna mtu yeyote aliyesoma koz inaitwa project planning anielezee kdg ubora wake na soko piah maana nmechaguliwa hyo lakin sijawa exposed sana juu ya hyo koz msaada plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.