Msaada wakuu..
Eti combination ipi ya masomo ni nzuri kwenye hii Bsc General degree.Wengi wanasema Combination nzuri ni Chemistry and Microbiology,je ni kweli??msaada zaidi
Kwa sisi ambao hatujachaguliwa udom ila tulituma maombi,je round hii ya pili kutuma maombi tunafanyaje mana ukiingia kwenye profile yako uanakuta wameandika your application is successfully...
Nimehitimu form four nikapata
Kisw-B
Hist-C
Chem_C
Bios-C
Geo-C
Eng C
Mathematics D
Civ C
Nina two ya 20 Je ni wapi patanifaa kuapply kabla hawajafunga selection nacte UPI...
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima
Natafuta mtu mwenye uzoefu na maswala ya kununua vitu online
Nataka kuagiza laptop kutoka Amazon
Kama upo tayari njoo pm tuongee biashara.
Natanguliza shukrani kwa wana JF kwa kazi mnayofanya na Mimi nimeapply vyuo vya diploma education vitatu Nina two ya point 20 chemistry, biology zote Nina c vyuo nilivyoomba ni mpwapwa Tc na...
The Mwalimu Nyerere Memorial Academy ni chuo ambacho bado kina nafasi nyingi za kutosha hadi sasa. Ni chuo cha serikali. Kipo kigamboni, diploma na degrees'. Please, wanaosema vyuo vimejaa...
Habar zenu wakuu. Nina shida yakuona matokeo ya UDOM ya mwaka 2011 online kupitia ARIS. Lakini nikilog on baada yakuweka Username na password naona chenga tofauti na miaka flan yanyuma hiko.
Kama...
SWALI LA KIZUSHI: Inawezekana shule kutoa elimu kwa Waafrika bila adhabu ya viboko? Hao wanafunzi wataweza kuelewa kweli bila adhabu kali za viboko?
1. Pana mashule Tanzania ambayo hayana adhabu...
Kama inavyosomeka hapo kwenye heading naomba kufahamishwa zaidi kuhusu course hizi kwa degree ipi ni nzuri ukiisoma
1.Medical lab
2.Nurse
3.Microbiology
4.Molecular biology & Biotechnology
Ushauri...
Naomba kwa anayeFahamu Deadline ya kuthibitisha (confirm) Chuo utakacho kwenda...
Pia naomba nifahamishwe namna ya kupata CODE hizi kwa haraka zaidi 🙏🙏🙏🙏
natanguliza Shukran
Maisha hayana formula ila mtu anaweza akajitahidi kufanya lile awezalo kadri mwenyezi Mungu atakavyo muwezesha.
Naomba tujifunze na wengine wajifunze kutoka kwetu sote, nakaribisha maswali yanayo...
Follow this link to join my WhatsApp group: https://chat.whatsapp.com/KirHi4vPCmNFHB8olw22ml
KARIBU UDSM, KARIBU COLLEGE OF HUMANITIES (COHU) 2019/2020
Zifuatazo ni kozi zitolewazo COHU
1...
Habari zenu wana jamvi
Kama kichwa kinavyosema hapo nataka kununua laptop Kwa ajili ya kujifunzia(chuo)
Laptop gani n nzuri Na zinakaa Na charge muda mrefu.
Budget yangu ni million Moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.