Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
wakuu niende kwenye maada! Hivi inawezekana ukisoma foundation course OPEN UNIVERSITY Alafu ukaenda kusoma vyuo vingine!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwamwenye majina ya walio chaguliwa Dodoma University atusaidie humu mana site yao ni nzito kufunguka
0 Reactions
2 Replies
613 Views
>>>>Namba inaongezeka kwa asilimia 5 mpaka 651.Ni namba gani Hiyo?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
NAOMBA JIBU LA SWALI HILI
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Salaam, wanajukwaa na watalaam pia wataaluma. Leo ninajambo naomba niwashirikishe, hasa wadau wa elimu ya moja kwa moja darasani (Walimu) Namlenga moja kwa moja mwalimu nikizingatia shughuli...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwema wana JF Mimi naomba undan kuhusu hii koz ipoje na inajikita upande gan na uwanja wa ajira ipoje kwa upande wa serikal na sekta binafc maana nategemea kuomba second round nmesoma HGL
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Habari wakuu, Je ukimaliza kulipa deni la mkopo bidi, unapewa Cheti Cha kumaliza kulipa (certificate of completion)??? Naomba kujua Hilo tu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani wanandugu habari za usiku, napenda kuuliza kuwa hawa wanaokuwaga wanafunzi bora kitaifa ma TO wa form six au form four hivi ni kwamba wanakeshaga usiku kusoma au kwa sababu wanapoulizwa...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
National Institute of Transport ni chuo pekee kinachoToa kozi za kuaminika za Tanzania katika masuala ya Usafirishaji. National Institute of Transport NIT pia kinatoa kozi mbalimbali za sayansi...
3 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari wana jamii forum, naomba kujuzwa kozi ipi ni nzuri zaidi kati ya hizo tajwa hapo juu maana nimechaguliwa kwenye multiple. Note: education (chemistry &biology)
0 Reactions
3 Replies
885 Views
kwenye hizo course 2 ipi ni nzuri kwa kusoma bila kuangalia suala la ajira?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu Nina mambo mawili ambayo ninaongea na Nacte pamoja na wizara ya afya kwa kuhusiana na course ya nursing&midwifery 1..Kwa upande wa diploma ilibidi tufanye mtihani tarh 26 augst ila nyie...
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Habari JF members eti ni course gani kwa British council ni nzuri na inamfanya mtu awe na eligliblity kukubaliwa kupata admission ya vyuo vya nje ya nchi Maana vyuo vingi nimeona wanataka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
*MWALIMU MMOJA ALIINGIA DARASANI N AKAANDIKA UBAONI KAMA IFUATAVYO:* (1) 9+1=70 (2) 9+2=11 (3) 9+3=12 (4) 9+4=13 (5) 9+5=14 (6) 9+6=15 (7) 9+7=16 (8) 9+8=17 (9) 9+9=18 (10) 9+10=19 Alipomaliza...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Nataka tujikumbushe wale vipange wa A level enzi zetu.
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Nataka kuulza kuhusu kozi ya optometry Ajira zake hazisumbui na Vp kuhuxu mxhahra wake
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nina mdogo wangu ambaye amemaliza kidato cha nne mwaka jana sasa kwa bahati mbaya matokeo yakawa mabaya kabisa (0). Nilimwambia arudie mtihan ila amedai anataka kwenda VETA, nimeenda kuchukua form...
1 Reactions
57 Replies
10K Views
Habarini wanajukwaa, naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa mtu aliyehitimu degree BSC EDUCATION(Chemistry and Biology) kuweza kusomea masters masuala ya udaktari wa binadamu au madawa...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
BELOVED AM LOOKING FOR A COLLEGE/INSTITUTE TO TUTOR MATHEMATICS COURSES ( Engineering, business, education,IT related maths courses) . I HOLD BSE WITH MATHS & IT ,WITH HON. FIRST CLASS. ALL CPA...
1 Reactions
3 Replies
613 Views
Back
Top Bottom