Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
msaada brothers & sisters, et kuna tofaut gan kama mtu akisoma coz ya wildlife management pale mweka na mtu atakae soma wildlife management and law enforcement pasiansi ? msaada wakuu
0 Reactions
2 Replies
644 Views
Wapenda habarini za uzima napenda kuomba ushaur juu ya kozi gan ya afya ambayo naweza kusoma kulingana na matokeo yangu haya physics D chemistry C biology C English C civics C geography C...
2 Reactions
42 Replies
10K Views
Hivi ukisoma degree ya Business administration badae unafanya kazi gani?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Jaman habarini za kazi nilikuwa naomba ushaur wenu Wa mawazo juu ya kujiendeleza kimasomo juu ya kozi ya uuguzi kwa level ya degree hivi kuna uwezekano wa kusoma faculty nyingne ila ya afya hiyo...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Vitabu vifuatavyo vimekuwa ni muhimu katika kuelewa namna bora za kushamirisha makuzi ya akili ya mtoto. Kwa wazazi na kwa wakufunzi wa vituo vya kulelea watoto, hivi vinaweza kuwa vya manufaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamvi naomba kuuliza he majina ya wanafunzi walioomba kujiunga na mafunzo kwa vitendo yameshatoka? Kwa sababu TANGAZO linaonesha majina yatawekwa kwenye tovuti ya chuo lakini sijayaona mpaka...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naomba kuuliza hivi unaweza kuapply mkopo kwa kutumia simu ya mkonon au mpaka uende kweny laptop ??? Samahani naomba msaada maana nimechelewa harafu hela sina kama inawezakana ni apply tu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Napenda kuuliza 'medical laboratory technologist' anaweza kuajiriwa kufanya kazi kwa Mkemia mkuu wa Serikali,, na kama anaweza,, majukumu yake, yakoje huko?
0 Reactions
1 Replies
983 Views
Naomba kufahamu kiundani zaidi juu ya hiyo course ni sector zipi ninaweza nikafanya kazi nikiisomea. Ninaaomba maoni na ushauri wenu wana JF brothers and Sisters.
0 Reactions
8 Replies
16K Views
SWALI: ASALAM ALAYKUM, SWALI NI HIVI, KWENYE SWALA YA DHUHA KUNA DUA MAALUM INAYOTAKIWA ISOMWE? NAOMBA MSAADA WENU. JIBU: AlhamduliLLaah Himidi Anastahiki Allaah (Subhaanahu wa Ta’aala) Rabb wa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habar wadau, mimi ni kijana wa miaka 21, nilifaulu darasa LA 7 ila sikuweza kuendelea mbele na secondary ila nilisikia kuwa kuwa Kuna QT, je QT inawezanifaa? Na pia nimeskia Kuna QT form 5 na 6 je...
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Jamani hivii application form kwa wale tuliochaguliwa Na serikalii 4m4 kwenda vyuo tunapatajee?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Samahani naomba mwenye kujua kama tarehe ya mwisho ya kuomba mikopo imesogezwa au bado ni ile ile ambayo nilisikia mimi ni tarehe 15 mwezi huu. Mwenye kujua chochote anijuze maana mpaka muda huu...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Salamu!! Wale wote wenye hamu na uelewa wa kutosha nimeona DUCE wametoa master ya Arts with Education ambapo utasoma master ya ualimu na somo moja la kufundishia ambapo yapo matano unatakiwa...
3 Reactions
8 Replies
4K Views
Hey guys I'm asking for one who have the complete pages of the soft copy bellow, s.chand's principlal of physics for class XI & XII please just send me through my fb.account/my email...
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Jimbo Katoliki la Ifakara linawatangazia watanzania wote kuwa, limefungua shule mpya ya Sekondari iliyosajiliwa kwa jina la ST. RAPHAEL SECONDARY SCHOOL na kupewa namba ya Usajili S.5061. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
789 Views
Nobo College of Pharmacy (NACTE Registration number REG/HAS/192P). Tupo Tabata Kisukulu. Tunatoa kozi ya Pharmacy katika ngazi ya Certificate na Diploma ( NTA level 4-6). Vigezo ni kuwa na minimum...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Habari wapendwa nimemaliza diploma ya maendeleo ya jamii (Diploma in community development) Sasa nataka nisome degree ya maendeleo ya jamii kwa hapa dar sidhani kama kuna chuo kinachotoa bachelor...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wakuu....hivi mtu akiisoma hii course ya community and development studies ataajiriwa kama nani? Hii course nimeona ikitangazwa chuo cha ardhi msaada kwa wanaojua hii course tafadhali
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ukiangalia matokeo ya kidato cha NNE na sita ni ukweli usiopingika wanafaulu sana, lakin ukiangalia shule binafsi nyingi wanafunzi wanafundishwa mbinu za kufaulu mtihani na sio kuelewa mazingira...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom