Wadau naomba kuuliza hivi humu ndani kuna aliyehitimu foundation program open university na akafanikiwa kuapply vyuo vingne nje ya open university?
Leteni mrejesho
Habari wakuu naomba msaada wa ufafanuzi anayeijua hii kozi.
ukisoma soko linakua sekta gani ? unakuwa mtengenezaji dawa au tabibu? kuna market ya hii kozi?
na mengineyo ambayo cjaulza napenda kujua
Habarini wakuu?naomba nipewe ufafanuzi juu ya hizi tetesi zilizozagaa kwamba ukitumia pen ya blue katika kujaza form ya maombi ya mikopo ya elimu ya juu kuwa ni makosa eti black pen ndo...
Habari za humu wakuu
Aisee nahtaji kwenda kusoma nchini Uganda degree yangu ya sports science and physical education sababu za kusoma huko Bongo Hanna hiyo course
Ila naomba mnisaidie naewzaje...
habari wakuu, naomba msaada katika hatua yaa mwisho ya kukamilisha ujazaji a fomu za online za bodi ya mikopo katika kusubmit wamandika "PRINT AND SSUBMIT YOUR APPICATION FORM AND ATTAACHME''...
Mwalimu mwenye sifa ya ualimu wa shule ya msingi yaani Grade A anaweza kuendelea na diploma ya ualimu na ni chuo gani kina uwezo wa kutoa diploma kwa mwalimu aliye kazini anayetaka kujiendeleza...
Nina ujuzi katika maeneo yafuatayo,
1. AutoCad
2. ArchiCad
3. Master Series
4. AutoCad Civil 3D
5. Excel n.k.
Nina matokeo mazuri, nina uwezo wa kufanya kazi vizuri kulingana na specifications...
Habari wana jukwaa, naomba msaada kama kuna yeyote anayefahamu kuhusiana na tatizo hili..
Mwaka jana sikufanikiwa kupata mkopo ila nilipata nafasi ya kuchaguliwa chuo kimoja.
Sasa baada ya...
Habari wanajamvi?
Wazazi siku hizi tumekuwa na hamasa kubwa ya kusomesha watoto wetu hadi elimu ya juu, tatizo kubwa wazazi wengi aidha tumeishia la saba au hatukusoma kabisa.
Sasa matokeo ya...
Naombeni msaada kwa mfadhili niweze kusoma wildlife management ndugu
Kwa ngazi ya degree nipo tayri kufanya nae mkataba nikimaliza nimudishie garama zake tafadhari naomben msaada kwa hili.
wakuu habari zenu nahitaji nikirudi nyumbani nisome kozi moja hapo udsm kama mambo yangu yasipoenda vizuri ya kuendelea kuwa huku mg'ambo , kwa wanaofahamu naomba wanisaidie japo kujua kama...
Sorry naomba kuuliza kuhusu mkopo wa elimu ya juu, kwamba itakuaje kama utaomba mkopo then ukaomba chuo then ukashindwa kuomba chuo katika round ya kwanza kutokana na sababu mbalimbali ukaja...
Nimeona kwenye website yao kwamba upcoming course yao itakua bachelor degree in community development kwa anayejua hii inaanza lini?
Halafu pia wanayo gender and development vipi hiyo course...
Jamani msaada ni utaratibu upi unafatwa wa kupata Avn number nacte?maana nimeambiwa deadline kwa awamu ya kwanza ni august kumi
Na jee hiyo avn inachukua siku ngapi kuipata?
Naomba yeyote anayejua Chuo kwa ajili ya kusomea mambo ya Maktaba na Secretary kilichopo Dar es salaam anisaidie.Chuo kiwe kina usajili unaojulikana na kiwe na Hostel.Nahitaji kumpeleka binti...
Mpwa wangu kamaliza Mbezi High School na division one point tano HGK. Form four alipata division 3 point 19 ikiwa na F hesabu. Namfahamu vizuri sababu anakaa kwangu. Nilitegemea kabisa apate...
Baada ya matokeo ya kidato cha sita kutoka jana leo kumekuwa na thread nyingi ,vijana wengi waliohitimu wakijaribu kutafuta ushauri kutokana na alama walizopata
Lakini moja ya tatizo nililo liona...
wakuu naombeni mnisaidie tofauti kati ya chuo cha wanyamaa pori mweka na chuo cha wanyam pori pasiansi na kwanin mweka ada yao ni kubwa sna? Msaada wenu wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.