Habar zenu! Nimemaliza diploma mwaka huu, katika process ya kupata AVN kuna sehemu ya kujaza additional qualification swali langu ni kama nina cheti cha form six nikiadd au niache kwa kua nina...
Habar zenu! Nimemaliza diploma mwaka huu, katika process ya kupata AVN kuna sehemu ya kujaza additional qualification swali langu ni kama nina cheti cha form six nikiadd au niache kwa kua nina...
Habari wanabodi
Napenda kuwauliza hawa watu wa TCU pamoja na open university mwaka Jana tume ya vyuo vikuu TCU iliutangazia umma ya kwamba wamerudisha program ya foundation kwa wale wahitimu...
Ndugu zangu nlikua naumba ufadhili wenu kwa yeyote atakae pendezwa ili niweze kusoma io kozi ambayo nina passion nayo tokea niko mdogo na ni ndoto yangu kuisoma ndugu zangu nawaomba msaada kwa hili.
Bsc in Mechanical Engineering ndio program nnayoichukua ktk Chuo kikuu cha DSM pale mjini Kati CoET, M/Mungu akijalia mapema mwez wa 11 ntakuwa nauanza Mwaka wangu wa tatu. Kabla sijafika Chuo...
Habar zenu wakuu? Hvi kwel naweza kwenda kusoma Udsm kwa dv 2 ya 12 especially coz ya Bachelor of Science in Agricultural and natural resources economics and business administration?
1.Nataka niisome hii course ya bachelor degree in community development nilisoma diploma yake pia sitaki nichanganye course hapa dar ni chuo gani cha uhakika wanatoa hii??
2.Hvi jamani pia kwa...
Samahani wadau
anayefaham hii kozi ya community development anijuze kidogo mana bado npo kwenye Giza Nene je mtu ukisoma hiyo kozi utafanya kazi ipi mim ni mwihitimu wa kidato cha sita 2019...
Wakuu habari za muda huu.!!
Juzi kuna kijana nilimfanyia application ya chuo, Nilianza na UDSM nikafungua account wakanipa control number nikalipa 10,000 nikaweka machaguo mwisho nika submit...
Natarajia kuanza mwaka wa kwanza katika chuo cha mipango Dom, course ya Development Administration and management. asa nataka kujua ni masomo gani nitayasoma ndani ya hyo course. wakuu naomben msaada.
kuna dogo namsaidia hapa lakini kila nikituma taarifa hazileti majibu, kwa wenye uzoefu wa elimu hizi za nyumbani kwa diploma nipeni msaada nimsaidie dogo
Wapendwa kama nataka kusajiri NGO ...ni ngo itakayofanya kazi na shule tu ..zote za serikar na private naanzia wapi? je wizara inasajiri? nahitaji nini na nini? nifungueni macho wapendwa...
JF patrons:
Does anyone of us know what the hell the National Board of Accountants and Auditors (NBAA) is doing? Does the Institution even have key performance indicators (KPI) against which it...
Habari wakuu
Mimi ni mwanafunzi wa courseu ya diploma uuguzi na ukunga(nursing and midwifery) kilichonileta hapa ni kuomba msaada wa mawazo kwa ninashindwa kulipa ada kutokana na matatizo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.