Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Mkurugenzi Wa TCU amedai kuwa asilimia 70 ya wahitim kidato cha sita kuna uwezekano mkubwa Wa kushindwa kupangiwa vyuo kutoka na taarifa zao kuwa kinyume na zile za maombi ya mkopo,haidha...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimetazama matokeo nikagundua tofauti ya miaka yetu n'a sasa.. Nimeona vijana wa kidato cha sita PCM.. PCB... CBG wakifauli kuliko miaka ya 2011 kurudi nyuma
5 Reactions
115 Replies
14K Views
Je kuna soko la online Open University ya binafsi Tanzania? Nilikuwa na maongezi na kiongozi wa foundation moja ya kimarekani tukaja na idea ya kusajili Tanzania chuo kikuu cha online kwa ajili ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuuuuu naombeni ushauri mtu akisoma kozi ya Bachelor Degree in Adult Education and Community Development anaweza kuwa nani? Asante
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu hii course ya bachelor of arts in community and development studies ukisoma hii course katika kuajiriwa unaajiriwa katika kitengo gani au cheo gani?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kama unavosikia kila siku watu wanalalama ajira ngumu,vyeti mkononi kiguu na njia kila siku..je kwa wahitimu au wale wanaotaka kwenda vyuoni miaka hii ni kozi gani nzuri kusoma..ambayo kupata...
1 Reactions
55 Replies
10K Views
Nipo naaply chuo hapa nashindwa kuverfy malipo natumia simu na risti namba ninayo kila kitu nashindwa pa kuingiza inanifanyia hv Nifanyeje????
0 Reactions
12 Replies
2K Views
habari zenu wakuu,tuliochaguliwa KCMUco tukutane hapa na wenyeji tafadhali mtuelekeze kuhusu KCMUco..natanguliza shukrani..
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari wakuu, Naombwa kujuzwa gharama za kusoma masomo ya CPA Pamoja na usajili bodi N. B naanzia level ya foundation.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Hello, karibu sana [UDOM] Bachelor of science in chemistry ni faculty ambayo inapatikana katika collage ya natural and mathematical sciences. wengi huwa wanachanganya hudhani ni faculty ya...
0 Reactions
12 Replies
42K Views
Naomba kujua kama dirisha la awamu ya kwanza la usajili wa ngazi ya 'degree' limeshafugwa au bado maana niliambiwa na mtu kuwa mwisho ni tarehe 10 mwezi wa 8 kwa awamu ya kwanza. Nilikuwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Nauliza hev hii Bachelor of science in chem ukisoma then unakua unadeal na vitu gan na unafanya kazi zipi? Tafadhali kwa anayefahamu
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Hivi private candidate wanapata mkopo
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani naombeni ufafanuzi kuhusu Bachelor degree zinazotolewa Online je zinatambulika?na kama hazitambuliki ni kwanini?.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habarini! Naomba Kujua Natakiwa kufanya nini kwasababu cheti cha O-Level na Transcript kutoka Nacte Majina Hayafanani Kile Cha Nacte Kimekosewa Nikifanya Application Inakataa nini natakiwa...
0 Reactions
2 Replies
983 Views
Habari wana JF mm ni mgeni humu ningependa kujua jinsi ya kujiunga na chuo cha lugalo millitary college msaada kwa alie someapo au anae jua utaratibu wa kujiunga nao kwenye course ya clinical...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sifa zipi zihahijika ili mtu asome kozi ya higher diploma in special needs education un geography. Kwa anayefahamu anijuze
0 Reactions
16 Replies
16K Views
Wadau naombeni msaada kwa mwenye joining instruction za clinical medicine amo training centre au mwenye msaada zaidi please
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naombenii ushauri jamni nimechaguliwa kwendaa chuo cha midwive&nursing lakin sitakii hiyo course nilikuwa naitajii kwenda clinical officer nitafanyaje.Na kuna uwezekano wa kusoma diploma na...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Back
Top Bottom