Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Msaada wap naweza pata kituo bora kwa Mafinga kwa QT na kurist mtihani
0 Reactions
0 Replies
584 Views
Naomba kufahamu,kuhusiana na master's degree Udsm... 1. Dirisha limefungwa tayari? 2. Utofauti wa "master's degree in mathematics" na master's degree in mathematical modelling" . 3. Je kuna kozi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanabodi naomba kuuliza hiki Chuo kipo sehem gani huko dar mim npo SHINYANGA VIJIJIN huku nataka nitimbe huko dar NA JE KINATOA DIGRII?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Msaada...nisababu zipi huzingatiwa katika ujenzi wa madaraja mida ya usiku(hasa madaraja yavukayo maji) mfano mito, ziwa na bahari.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wengi wanaweza kujiuliza kuwa Hii avarta nayoitumia ni ya nani hasa? Wengine wanaweza kwenda mbali zaidi na kusema labda mpenzi wangu mpya au wale wastaarabu wanaweza sema labda ni dada...
8 Reactions
18 Replies
5K Views
ndugu zangu naomb kujua kam ni kweli majina yametolewa na body ya mkopo kwa waliojaza fom vbya na kam kuna taarfa zaid kuusu body ya mkopo naomb tujulishane
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kumekuwa na mjadala ya kwamba walimu wanaomaliza ngazi ya stashahada ni mahiri zaidi kuliko wale wanaomaliza ngazi ya digrii, binafsi nimejaribu kujiuliza baadhi ya maswali tafakuri lakini hadi...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada kati ya hizo kozi mbili ipi ni kozi bora na yenye umuhimu sana kwenye maendeleo ya viwanda na aina za career mtu anazoweza kuchagua akisoma kozi hizo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza kuongeza muda wa kuomba mkopo kwa njia ya mtandao kwa siku saba hadi Ijumaa, Agosti 23, 2019 ili kuwapa fursa waombaji ambao...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
1)Nimesikia kwamba ukipata asilimia 0% maana yake eti tuition fee hupati hata senti tano ila boom unapata. 2)Pia nimesikia ukikosa mkopo mwaka wa kwanza unaweza ukaomba mwaka unaofuata na ukapata...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Wana JF habari, Mimi nmemaliza form 4 mwaka 2017 nilipata matokeo ambayo sio mazuri sana, nlipata F ya math na D 3 na C tatu. Nikaamua kurisiti mwaka 2018 na kufanya math ambayo nlikua na F na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari waungwana naomba kuuliza kwa yoyote anayejua hili naomba anisaidie , wakati wa kufanya maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwa wale diploma holders kuna sehemu ya ku-attach matokeo ya diploma ...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Napenda kuwakaribisha wahitimu wa kidato cha sita na vyuo vya Diploma wanaopenda kujiunga UDSM kwa kozi mbalimbali. Wanaweza uliza swali lolote na watajibiwa vyema kabisa Chini 👇🏻ni link ya group...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu nilikua nauliza ni Kozi ipi bora kati ya Pharmacy na Radiology interms of ajira pamoja na kujiajiri na Muda wa kusoma naongelea kwa Ngazi ya diploma na...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Hichi vipi wakuu elimu yake jee? Vipi kuhusu ubora wa elimu Kipo dar es sallam sehem gani??
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu nilikua nauliza ni Kozi ipi bora kati ya Pharmacy na Radiology interms of ajira pamoja na kujiajiri na Muda wa kusoma naongelea kwa Ngazi ya diploma na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ukiangalia matokeo ya kidato cha nne na sita ni ukweli usiopingika wanafaulu sana, lakin ukiangalia shule binafsi nyingi wanafunzi wanafundishwa mbinu za kufaulu mtihani na sio kuelewa mazingira...
4 Reactions
32 Replies
5K Views
habari wakuu?. kuna ndugu yangu amechaguliwa moja kwa moja kutoka kidato cha nne kujiunga na masomo ya ngazi ya diploma katika chuo cha TUMBI Tabora. katika ulipaji wa ada kuna wale wa goverment...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wandugu! Kwa yeyote anayefahamu juu ya chuo cha MUSOMA UTALII Tabora campus hasa kwa upande wa utoaji wa health courses, mazingira na sifa zao! Asante
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu watanzania nilikua nauliza kama naweza soma masters of business administration kwa G.P.A ya 2.7 kwa mwaka wa masomo 2018/2019...kama mnafahamu tafadhari naombeni mnijuze
1 Reactions
57 Replies
10K Views
Back
Top Bottom