Wakuu kama kichwa cha habari apo juu kinavyosomeka, nmechaguliwa kozi nzuri kinoma.
Kozi inalipa, kozi naisoma mimi tu, hii ntaweza kuwaisaidia waty wengi mnoa.
Wakuu saivi saa ngapi niamke...
Nimeomba chuo fulani lakini nilipoangalia tena taarifa zangu baada ya kufanya submission nikakuta kwamba nimekosea tarehe ya kuzaliwa(nimechanganya mwezi na tarehe). Lakini kwenye kipengere cha...
Habari wakuu
Kuna hawa Nacte na Wizara ya afya wanafanya course ya nursing idharaulike kwa mambo wanayoyafanya
1..Mara wapandishe vigezo vya kujiunga kutoka CCD kwa PCB respectively na kurudi...
Wanajamvi naomba ushauri kidogo, mdogo wangu kachaguliwa Course zifuatazo ameniomba ushaurii ipii "aconfirm"
Course ya Kwanza.....
Bachelor of Science in Agricultural and natural resources...
Wasalaam wana jamvi. Bila shaka watu wengine mtakuwa mmeona hiki kitu kama nilivyoona mimi.
Nashindwa kuulewa hii kozi ya diploma in computer science itatolewa hapo chuo kwa mwaka huu au la! Kwani...
Watu wanashindwa kuelewa tu malengo ya kuanzishwa kwa Loan Board nchini. Bodi hii haikuanzishwa kwa lengo la kumsomesha kila mtanzania bali kwa kusaidia tu pale inapobidi na kuhitajika.
Kwenye...
Tangu shule za msingi hadi secondary kulikua na vitu fulani ukitaka kucrem bas unatengenezea formula au ka wimbo flani. Mfano:
Halo hemedi lile beberu bora chinja na ondoa figo nene na mgeni...
HABARI NJEMA: UTUMISHI WAMETANGAZA NAFASI ZA CHINA MOFCOM SCHOLARSHIPS 201O20.
📌WANAHITAJIKA WATANZANIA KWENYE VYUO 39 CHINA.
💰SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA CHINA ITAKUPA VITU HIVI:
▪Gharama za...
kwa yeyote anaejua naomba anisadie nimwanafunzi nilihitim diplom mwaka huu shida nikwamba cjaweka kupata AVN kwa sababu detail zang hazionekani nacte nimeenda chuo wameniambia wameshindwa kuaply...
Mdogo wangu ana ufaulu wa
Kiswahili B
Language E
History E
Wakati wa kuomba chuo aliomba
Education Udsm( muce na Duce)
Education Udom
Lakini pote hajapata, vipi raundi ya pili aombe vyuo gani...
Poleni na majukumu ya kila siku wakuu.
Naomba kufahamu sehemu nzuri ambayo wanatoa mafunzo ya computers kwa jiji la Dodoma tofauti na vyuo vikuu vilivyopo apa jijini.
Uzi huu upo kwa lengo la kuwaunganisha wana Maabara wote.
Karibuni.
- uliza chochote kuhusu fani hii
- Na wale mnaoingia mara hii katika fani hii karibuni pia.
Wakuu jinsi siku zinavyozidi kwenda wadogo zetu waliomaliza kidato cha NNE wanatusumbua kila kukicha tuwaulizie mambo ya kozi za chuo.
Je, wapi huyu dogo anaweza kusomea mambo yamaabara hususani...
Mwaka huu form four walichaguliwa moja kwa moja kujiunga na vyuo bila kupitia NACTE (VYUO VILIVYO CHINI YA nacte).
CONCERN YANGU NI HII: almost vyuo vingi vimejaa AU VIMEBAKIWA NA CHINI YA 1/8...
Wanabodi nawasalimu,
Ndugu zangu napenda kuuliza utaratibu wa kuomba kuhama chuo kwa mtu aliyepangiwa chuo na NACTE.
Kwa mujibu wa maelezo ya NACTE kama ilivyoelezwa hapa chini:
Na tangazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.