IT Question (sets topc). Plz help. In a competion a school awarded medal in adifferent categories. 36 medals in dance, 12 medals in dramatical and 18 medals in music. If these medals went to a...
habari za humu ndani wana jukwaa.
niko na shida ya kupata scope na general description ya Bachelor degree of technology in Laboratory sciences inayotolewa pale DIT kitaaluma na fursa ya kujiajiri...
Kiukweli staki kuwakatisha tamaa ila kama kweli unasoma ili uje upate ajira ya uhakika ni ualimuu tuu.....
Kama haupendi ualimu basi mjiandae kisaikolojia mje kujiajiri mapema kabla ya kumaliza...
Kuna kijana amemaliza F4 Div II points 20 Credits ziko vizuri anataka afanye EGM au ECA ili baada aje afanye Bcom/BAF
Lakini kuna wazo kwanini asianze kusotea CPA/ACCA
Kuna advantages na...
Habari wadau, nilisikia bunge limepitisha mswada wa kuzuia wasiosomea ualimu kufundisha! (Yaani kama hujasomea ualimu huruhusiwi kufundisha). Lengo likiwa ni kuboresha sekta ya elimu. Je, sheria...
Wanaomba kuuliza hivi ile namba ya simu ya TCU iliwekwa kwa ajiri ya kazi gani? Haiwezekan karibia wiki ya tatu hii napiga tu inaita lkn haipokelew hivi hawajui wapo pale kwa ajiri ya sisi...
Naomba kujuzwa kwa anaesomea diploma maalumu ya ualimu wa physics and biôlogy je vitabu vya aina gani napaswa kua navyo vitakavyo weza nisaidia katika masomo tajwa chuoni pia ningependa kujuzwa...
Wazee naomba kuuliza kati ya hizi kozi mbili Oil and gas engineering na Electrical and electronics Eng ipi soko lake LA ajira limekaa sawa baada ya kuhitimu?
Habari wana JF
Naomba ushauri kutoka kwenu waungwana;
Nilimaliza kidato cha IV mwaka 2011 na kufanikiwa kupata alama ambazo ni za kawaida kama ifuatavyo:
Basic Mathematics-C
Chemistry-B...
Wakuu habari ya wakati huu, samahani nahitaji kumfanyia Application mdogo wangu katika ngazi ya Stashahada/Diploma kupitia NACTE nimekutana na maelekezo yanasema 10,000/= per Institution na sio...
Habari wakuu, mdogo wangu amesoma B.A in Public Relations and advertising pale UDSM, kasugua Gaga mtaani miaka miwili Sasa ameamua kusoma diploma ya Clinical medicine chuo flani, Sasa je Kuna...
Samahani Kwa usumbufu wana JF,
Naitwa ABDALAH HAMISI, Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2014 nikapata "C" mbili, "D" moja, "E" tatu na "F" moja.... Kwamaana nina GPA ya 0.7
Swali langu: Naweza...
Habari wakuu, mdogo wangu amesoma B.A in Public Relations and advertising pale UDSM, kasugua Gaga mtaani miaka miwili Sasa ameamua kusoma diploma ya Clinical medicine chuo flani, Sasa je Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.