Samahani wakubwa ivi kwa aliyesoma au anaejua comb ya HKL eti kuna coz nyingne ambayo ni rahisi kupata ajira ata kama serikali itachelewa kutoa ajira kwa anaejua basi atuambie wadogo zenu...
Sorry wadau , najua baadhi yenu humu ndani ni watu waliotangulia na kuona wapi palipo sahihi na wapi sio pa kukurupuka, naomba kujuzwa course ipi hapo nikaruke nayo?
huu ni mfano wa namna ninavyotoa huduma ya distance learning program Kama unamaswali yeyote ya physics ,mathematics na chemistry kwa level zote unasaidiwa vizur kwa weledi wa hali ya juu ni Mimi...
Tangazo tangazo yule mbobezi,fundi ,mtaalamu wa masomo ya sayansi physics ,mathematics na chemistry shebby maconcept kutoka chuo kikuu cha dar es salaam anawatangazia home tuition program kwa...
Tangazo tangazo yule mbobezi,fundi ,mtaalamu wa masomo ya sayansi physics ,mathematics na chemistry shebby maconcept kutoka chuo kikuu cha dar es salaam anawatangazia home tuition program kwa...
Habari Wana JF
Kipindi cha usajili kinaenda kumalizika sasa, naamini wengi wetu huku tumetumia hii mifumo ya usajili na kuona jinsi inavyofanya kazi. Sabab tunatumia mifumo tofauti kwa kila chuo...
Wajuzi wa mambo naomba mtusaidie kujua nini hapa kinachosababisha bunduki kuchelewa kutoa sauti kabla ya risasi kutoka.kwa uwelewa wangu nilikuwa najua sauti inatoka kwanza kabla ya risasi kufika...
Mtihani wa advance nilifanya masomo ya
Chemistry-B
Mathematics-C na
Education-D
Div 1.9
Natamani kwenda kusoma software engineering ila naona guidebook ya TCU inataka physics je hakuna njia...
Je Ni mbinu gani naweza kutumia kufaulu kwenye combination yangu ya EGM maana naona watu wengi wana nitisha sana kwamba comb hii ni ngumu na ningumu kufaulu naombeni ushauri wenu Jaman...!
Naomba kujua siri ya kufaulu ili somo kwanza nahitaji kujua ni vitabu gani vya kusoma? Harafu pia nitapata wapi solved practicals za physics? Hivi ni kweli ili ufaulu physics inabidi ufoji...
Habari Wana Jf...naomba kwa alie na ujuzi anasaidie,Leo nilikuwa nafanya application ya Loan board Lakin kila nikiingiza namba ya form four (index number) na ku-cofirm Sipati namba ya Malipo...
naomba msaada tafadhali
ninafanya aplication online kwenye chuo cha arusha technical college ngazi ya diploma
sasa nimefika step ya employer, position held nikashndwa kwa sababu mim sijaajiriwa na...
Samahani sana Wadau.
Kuna dogo namuombea chuo.
Lakini majina yake aliyotumia kidato cha 4 ni tofauti na majina aliyoyatumia kidato cha 6.
Na kwenye kuaomba vyuo mambo yamegoma.
Naomba kufahamu...
kama kichwa kinavojieleza niana ndugu ambae anahitaji ku aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.