Wakuu napata shida kidogo kwenye application za undergraduate za SUA,,, kila nikitaka ku register in fail
kwa ambae kashafanikiwa ku apply chuo hiki naomba msaada plzzz
natanguliza shukrani
Wasalaam wakuu.
Mwalimu tajwa hapo amekuwa ni kero kubwa hapa chuoni. Amekuwa na tabia ya kufelisha wanafunzi kwa makusudi.
Kwa mfano, sisi ametufundisha Financial Markets mwaka huu, na kwa...
Wakuu Habari za muda huu..
Samahanini naomba mwenye ufahamu na kozi ya health system management inayotolewa chuo kikuu cha mzumbe anipe maelezo kidogo...
Hii kozi inadeal na vitu gani na baada ya...
Ndugu zangu wapendwa,naomba kujua hii foundation course inahusika na nn,na vigezo vya kujiunga na kozi hii ni vp,pia masomo yanayoambatana na kozi hii ni yap?
Kwa anaejua chochote juu ya...
Habari wanajamiiforum wenzangu..
Naomba mnisaidie,,,Akaunti yangu ya rita imegoma kureset password baada ya mimi kubadili password za email yangu,,,Rita wanataka nireset password lakin kila...
Habari wana jamvi
Naomba msaada kuelekezwa juu ya HEALTH SYSTEM MANAGEMENT Na ni vyuo gani vinatoa haya mafunzo.
Natanguliza shukrani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna jamaa yangu amehitimu form 6 mchepuo wa HGL, amepata History E, Geography E na language D, sasa ameniuliza kuwa kuna uwezekano wakupata nafasi ya kusoma degree?? Maana alikuwa anamalengo ya...
Wakuu kama heading inavyojieleza haya hapa ni matokeo ya dogo langu liko chuo,
Sina ufahamu sana n hayo masuala ya GPA..
Je kwa matokeo haya niendelee kumlipia dogo ada au ni chengaaa
Wana jamii forum kama kuna mtu kajaribu kufanya application leo kwa vyuo vya udsm, Mzumbe na udom anipe details, maana nimejatibu had nikalipia but kipengele cha index number kinagoma kuleta matokeo
Mambo vip wanajukwaa?
Kwa wazoefu naomba Msaada, nina mdogo wangu alidahiliwa kwenda chuo kikuu cha Dodoma mwaka 2013 kwa points 3.0 yaani D na E, kwa wakat ule wanafunzi walidahiliwa kwa hizo...
Jamani mimi nataka nijiendeleze kielimu, kuanzia kidato cha 1 na kuendelea.
Nataka nianze kwanza na English Coure, ile English ya kuandika na kuongea kabisa kama nakunywa maji.
Ikiwa bweni au ya...
Nimemaliza form six katika mchepuo wa PCB na nimepata two ya 12. Kama ifuatavyo CHEM C BIOS C na PHY S. Ndoto zangu ilikuwa kusoma course za afya hasa udaktar ila kwa matokeo haya na kwa maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.