Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
nimelipa chuo dodoma lakini cha ajabu wananiambia cjalipia
0 Reactions
1 Replies
870 Views
Please anaefahamu namna ya kuzungushia mstari neno au sehemu ya picha kwa kutumia simu anielekeze.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wana Jamii forum wenzangu naomba kuuliza kwa wale wenye uelewa kuhusu vyuo vya kilimo vilivyopo mkoani mbeya anidadavulie na kuviorodhesha ili niweze kuvijuwa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Download app kpitia link hii cheyionlineschool.com
0 Reactions
0 Replies
836 Views
nahitaji msaada wa kujua kuhusu Ada yote inayohitajika kwa Bugando na Mubimbili kwa hizo kozi mbili nione kama ni affordable kwangu. Nawasilisha
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimesoma community development ngazi ya cheti Chuo kikuu cha iringa nataka niachane na hii course je ni course gani naweza soma diploma nyingine kulingana na hii nilio anza nayo?
1 Reactions
3 Replies
2K Views
jamani nimesoma PCB nina DDD yan div two ya 12 ni course gan ya afya naweza kupata
0 Reactions
5 Replies
817 Views
Wakuu nahitaji joining instruction ya chuo tajwa hapo juu kwaajili ya dogo bila kujali ni ya mwaka gani maana chuo husika wapo kimya mpaka sasa
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Kam topic inavyosoma nilitak kujua inahusiana na nini zaid ambacho mt. Akiw anhitaji kusoma awe anaelew .....nisaidien wadau
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Wenye ufahamu wa hizo programme ipi ni bora zaidi in terms of marketable and academically benefits.
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari wanajamvi. Mdogo wangu ni mhanga wa multiple selection kwa vyuo viwili tajwa hapo juu. Mpaka sasa bado hajatumiwa code na yeye yuko Kambini JKT. Sasa naomba tuunganishe nguvu kwa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kama ni mwl wa chemistry Tanzania tukutane watsap, bofya link kujiunga Na grupu la walimu wa chemistry Tz https://chat.whatsapp.com/BhsKUleWl9B6x6A629FB93
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jama wadau naombeni msaada, nimemuombea mdogo wangu kozi za afya nimemaliza, nataka pia nimuombee na kozi zingene za ualimu, lakini nashindwa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Aliyefanikiwa kuomba Chuo cha Mipango Dodoma tafadhali nahitaji msaada kwani mfumo wao huauhifadhi matokeo kidato cha sita,hivyo inakuwa vigumu kuendelea na hatua nyingine.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
kuna ukweli wowote kwamba ikiwa umeomba tawi lolote la SAUT na ukapata wakati vyuo vingine navyo umepata SAUT wanakimbilia kuconfirm kabla yako?😢😢😢
0 Reactions
2 Replies
649 Views
Hello. There is a WhatsApp group for Dar es Salaam home tuition teachers network ....when i say home tuition teachers I mean those teachers who teach at home basis by visiting students to their...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Je,kuna syllabus za Physics Practicals kwa O level na A level?.Kama ndio,je,zinapatikana wapi?
0 Reactions
4 Replies
880 Views
Naomba kuuliza hivi mtu aliemaliza diploma ya clinical medicine kwa GPA ya 4 na anataka kuomba degree.je anaweza kubaliwa kujiunga ikiwa cheti chake cha form four kina D za masomo ya sayansi...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Habari wadau, na poleni na miangaiko ya maisha. Nilikua nauliza kama kuna sehemu wanatoa Certificate ya Mafunzo ya HR, kwa mtu alie tayari na Degree ya HRM, maana kazi zinatoka na wanaulizia na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
*Nimekuwekea List ya vyuo Mbali mbali vya Afya Nchini Tanzania* Tembelea kupata details za vyuo mbali mbali vya Afya *Diploma & Certificate*...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Back
Top Bottom