Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hii issue ya matokeo ya kidato cha nne na sita mwaka 2016 na kuendelea kutokuwa hewani shida ni wapi? Admin wa Necta web tunaomba majibu hapa
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jmani za asbh wana jf, naombeni msaada kwa yoyote ambae anaifahamu shule nzuri ya private ambayo inafaulisha vizuri pia. Ada yake isizid 2m nashule iwe tanga, moro, pwani na dodoma NB: Iwe ina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna ndugu yangu amesajili masomo saba katika CSEE 2016, na hakuweka English. Lengo awe Dokta kwa kuwa miongoni mwa masomo yake anayorisiti ipo Phy, Chem, Math na Biol. Je naweza kubadili usaji...
0 Reactions
4 Replies
992 Views
Habarini za muda wakuu. Naombeni mnisaidie kunielewesha maana nimejisajili nacte ili nifanye application ya diploma kama zinavo onekana kwenye guidebook yao lakini baada ya kulipia nakuta course...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtu mwenye Masters ya Nursing for possible connection ya PhD. Nimeongea na Prof. already so that means mguu mmoja ndani tayari sababu PhD nyingi za USA connection ni muhimu na Prof akisema...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Friends nimemaliza form six mwaka Jana nilikuw naomba mnisaidie ntaweza kupata. wapi course ya airline management iwe ya online au ya kawaida tu sisomi kwa ajili ya vyeti nasoma kuelew how...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nashindwa kuelewa sehem ya physical address nijaze nini?
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Naomba msaada waungwana hicho chuo kikuu kinapatikana dar mazingira yake yakoje, je kina ushindani mzuri na vyuo vikuu vingine hapa Tanzania? Naomba msaada.
1 Reactions
2 Replies
942 Views
Naomba mnisaidieni ili niweze kufaulu jamani ndo naingia form 5 EGM.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu habari, Naomba mnisaidie, nafanya malipo Loan Board ktk control number niliyopewa tangu juzi ila inanijibu kuwa, huduma hii haipatikani kwa sasa. Na nimejaribu kulipa kwa tigo, voda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari watalamu wa mambo!!! Husika na kichwa cha uzi hapo juu Naomba kwa mwenye uelewa kuhusu chuo cha ualimu kleruu nahitaji kujua kuhusu mazingira yapoje masomo yanayofundishwa na pia...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimeona taarifa hiyo hapo chini katika tovuti ya Tamisemi, ikisema wale wanafunzi 48 waliopata Div III walitakiwa kurudishwa kwenye shule za kawaida za A-level kwa kuwa hawastahili kupata Div III...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Naandika hivi kwa sababu hii nchi ina mshangazo mkubwa sana! Watu waliokuwa likizo bila malipo, na wengine walioomba kurudi kwenye kazi zao, au ajira mpya, kiukweli kuingia kwenye payroll...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanabodi naomben msaada wa namba za cm za TCU Nina shida nazo
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa anaekifahamu chuo cha Bagamoyo school of nursing naombeni anisaidie kujua napataje joining instruction. Maana chuo hakina website na nimejaribu kuingia account yangu ya NACTE haifunguki tena...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Habari, Now ndo time ya kuomba vyuo kwa waliomaliza six, watu wa diploma sorry sina uzoef, naandiika uzi huu naamini utapata chochote cha kukusaidia, mana nilipita huko manusura nifanye machaguo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwenye kufahamu, kuna mwanafunzi ameomba hicho chuo Dodoma lakini kila akiingiza result za form 6 inaandika wait unapo save results kwa muda mrefu bila respond. Tafadhali msaada.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mwaka jana yaani 2018/2019 nilidahiliwa na chuo flan hivi na nilisoma kwa semester moja tu baada ya mambo ya pesa kuwa magumu nilitimka sikutoa taharifa hata kwa dean was faculty yangu na mwaka...
1 Reactions
3 Replies
860 Views
habari JF napenda kufahamishwa hili, hivi wanafunzi walioomba mkopo wa bodi kwa elimu ya juu maombi yao ya kukubaliwa yatajibiwa kabla au baada ya kulipoti vyuoni?
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba nifahamishwe kuhusu course ya public health na vyuo gani kwa Tanzania vinaitoa, specifically kwa ngazi ya bachelor!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom