Udahili utafanyika vyuoni moja kwa moja isipokuwa vyuo vya afya na ualimu vya serikali.
In a nutshell!
Baraza linapenda kuwataarifu wadau wa sekta ya Mafunzo ya Ufundi na Umma kwa ujumla kuwa...
Wakuu habari za muda huu............kwa wale tuliofanikiwa kufanya interview za ufadhili wa masomo China pale katika ubalozi wao kitengo cha uchumi na biashara zijulikanazo kama MOFCOM ni nini...
Wakuu habari zebu?
Niende moja kwa moja kwenye Mada
Nchi nyingi sana hasa ambazo hazina maendeleo Makubwa zimewekeza sana katika mfumo wa elimu ambao ni rasmi yani mtu anaenda shule anafundishwa...
Habari za majukumu wanajamvi, nmefanya application mbeya university of science and technology (MUST) na nimelipia application fee ila ni Siku ya tatu hakuna apdate yoyote kuonesha nimelipia...
Naombeni ushauri Nina mdogo wangu kamaliza form six mwaka huu kapata chemistry D, biology D, na Geography D , bam E na GS D. Je tofauti na case ya kusomea ualimu , je n kozi gani nzur ambayo...
Habari zenu humu ndani, naomba msaada kwa anaejua tuition fees kwa course za Masters hasa ya MBA pale Open University of Tanzania mana nmehangaika kugoogle nmeshindwa. Asanten sana
Wadau
Hivi shida iko wapi?
Au shida iko kwenye server zao hawa jamaa
Maana najaribu ku request kupata control no. Ila inaniambia "currently no connection" sometime ni infinity loading...
Habar kwa wale waliopiga foundation open university mnataarifiwa kuwa transcript tayari zimeshatoka zinapatikana makao makuu DAR na ndizo zitakazotumika kuomba vyuo mbalimbali kwa ngaz ya digrii
Wakuu natafuta ichi kitabu cha Complete advanced biology form 5 mwandishi sir.Respicius Rwehumbiza, nimezungaka bookshops za karikoo nimekosa, na bookshops ambazo zimeorodheshwa upatikanaji ichi...
Habari zenu ndugu,,, nilikua naswali kidogo, kati ya kwenda chuo na kwenda advance kama private candidate..kipi ni bora?? Na je pc akifaulu vzur anapewa mkopo?
Habari za asubuhi ndugu zangu naamin mnaendelea salama...kuna tatizo moja linamkabiri mdogo wangu ambaye kwa sasa anasoma nnje ya nchi....alimaliza form six 2015 na matokeo hayakua mazuri sana so...
Hbr wana jf,naomba msaada kwa MTU mwenye mawasiliano ya TCU anipe no ht km nj ya MTU binafsi k.v mfanya kaz was hapo,napiga cm za mezan hazipojelewi,nataka wanitoe kwenye mfumo wao ili niombe upya,
Nimemalza form six na kupata two ya 11 katk masomo ya arts History D geo D kiswhl C nlkuwa napenda kusoma sheria lakn naskia sheria wanachukua hgl na hkl na umri wa miaka 25 , IPI kozi...
Member heshima yenu jamani,
Nahitaji kupata AVN kutoka NACTE ila mpaka sasa sijafanikiwa, nimefuata kama wanavyoelekeza katika link yao, naomba kwa aliye fanikiwa kwa mwaka 2019 au mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.