Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Hii iwaendee wale wote wanaohusika na jukumu zito la kuomba mkopo wa masomo katika bodi ya mkopo ya elimu ya juu. Kwa maombi ya uhakika na zoezi lisilokuwa na mashaka niko hapa kwa ajili ya...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Nina GPA ya 4.0 vipi wakuu muhimbili naweza pata MD Nina diploma ya clinical medicine
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Msaada jaman coz ntakakua apply nna E ya phy, C ya Chem na B ya bioz. Mnisaidie je nitakubaliwa level ya diploma?
0 Reactions
27 Replies
12K Views
Naomba mwenye kuelewa course hii anifahamishe utaratibu wake chuoni na malipo yake na baada ya kumaliza mafunzo hayao unakuwa mwalimu wa shule zipi za msingi au sekondari, na vipi ugumu au urahisi...
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Naandika makala haya kwa uchungu kabisa kutoka moyoni Sababu kuu ni kitendo cha kunyimwa mkopo wa kuendelea na elimu ya chuo kikuu Kwa kifupi alama zangu na pia kozi niliyochagua ina...
6 Reactions
63 Replies
6K Views
Chuo cha kilimo na mifugo Kaole Bagamoyo kimeanza kupokea maombi ya wanafunzi wanaotaka kujiunga na kozi mbalimbali za mifugo na kilimo kwa ngazi ya cheti,VETA na Diploma Tunapokea wanafunzi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari naombeni msaada tafadhari nikijaribu kuomba vyuo naambiwa vitu ambavyo sivielewi ili nifanikiwe nifanyaje
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wakuu. Nilikuwa naomba kuelewa kama kuna mtu ashawahi kufanya application za chuo nchini kenya kama Kenyatta university au vyuo vyengine kenya unipe utaratibu. Maana nimetafuta...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jamvi naomba msaada wenu kujua ni kozi gani na chuo gani kinaweza kumfaa mdogo wangu ambaye amemaliza form six mwaka huu na kupata alama zifuatazo. 1:Chemistry..........C...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Salamu Ndugu...? Hope mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila siku. Serikali kwa ujumla kupitia wizara ya Elimu, wametoa mwongozo kwa shule zote za serikali na binafsi kuwasiliana kwa lugha...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wakuu nipo kwenye mkanganyiko kidogo juu ya matokeo haya ya form 6 inakuwaje mtu mwenye 2 ya 12 amepata E,C,D anachukua degree huyu mtu
0 Reactions
2 Replies
679 Views
Habari wana jf Ninataka kufanya maombi ya kujiunga na chuo mwaka huu 2017/2018 kozi gani mzuri nichukue Results Nilipata point 28 nina physics D, Chemistry D, Biology D, Geo D,kiswa D,Histo D...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani naomba msaada wale waliomba mzumbe nimefanya admission nimefika step 3 academic qulification kila nikijaza index number ya form IV inagoma haitambui index no/year Je? Nakosea wapi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu leo nimeshuhudia mamia ya waombaji mkopo ww elimu ya juu wakizunguka kila stationary,wakitaka kuweka taarifa zao kwenye portal ya olams lakini inashindikana. Nimejaribu kuwasaidia baadhi...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba kujua ni course zipi za kilimo naweza kupata kwa ufaulu wa Physics E, Chemistry D, Biology D..
1 Reactions
1 Replies
510 Views
Nimekuwa nikifuatilia hii kozi kipindi cha nyuma hakukuwa na chuo kinachotoa, ila mwaka jana UDSM walianzisha hii kozi lakini ni evening class, mwaka huu nika apply nikapata, naombeni msaada wa...
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Habari Kuna kijana amepata nafasi ya kwenda kusoma India kupitia mpango wa serikali ya India "Study In India " (SII) ambapo amepata udhamini wa 100% tuition fee waiver analipiwa, lakini gharama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jaman naomben msaada ushauri wa kuchagua coarse chuoni napenda nisome mambo ya web design na vinginevyo lakin cjajua kama soko la ajira liko vizuri sasa naomba msaada kwa wakongwe
1 Reactions
5 Replies
983 Views
Back
Top Bottom