Wajuz wa mambo naomba ufafanuz kwa hili.
Mwaka Jana wakati kozi hii inaanzishwa muongozo ulidai kuwa mtu ukifaulu hii koz kwa GPA 3.0 unaweza kusoma Chuo chochote sasa naona TCU GUIDE BOOK...
Ndugu yenu NAOMBA mnishauri.
Nina mdogo wangu amemaliza form six na kupata div Three (DEE -HGL).
Lakini Olevel alipata DIV TWO, alisoma sayansi olevel kasoro physics.
Kwa matokeo hayo naomba...
Naomba kupendekeza kigezo kipya cha kuzishindanisha shule kutokana na ufaulu wa mitihani ya NECTA. Kigezo kinachotumika sasa cha kuangalia GPA pekee kina mapungufu yafuatayo: Hakizingatii kwa...
Habari zenu waungwana,
Binti yangu kapata matokeo matokeo yafuatayo mtihani wa kidato cha sita 2019:
Physics C
Chemistry C
Biology B
Basic Applied Maths B
General Studies D
Naomba ushauri wa...
Siku ya kwanza Mwalimu wa Physics advance anaingia darasani (Mazengo secondary), anajitambulisha kwa jina anaitwa MKOMA. Anaongea mambo mengi ya kujenga na kuongeza ufaulu, anazungumzia Timed test...
Kumekuwa na kasumba kubwa ya watu kuvamia mchepuko wa PCB wakiwa na ndoto za kuwa madaktari kwa sababu mbali mbali kama
Ajira nje nje
Mikopo ilikuwa asilimia 100
Sifa za kuwa unasoma kozi ngumu...
Habari za asubuhi wakuu,ningependa kuwaletea shule zilizoongoza katika kila somo kwa utafiti nilioufanya kwa siku tatu hizi,ambapo mwanadada kutoka shule ya st.Mary mazinde juu (faith mtee),aibuka...
Nimepata divisheni ziro. Nimependa kujiunga kozi chuo. Ada nitajilipia mwenyewe. Mkopo sitaki. Kozi ina nafasi. Kwa nini nizuiliwe kujiunga na kozi ya digirii chuo?
Nikienda chuo na ziro yangu...
Nimejitahidi kupitia matokeo ya shule nyingi hasa zile zilizofanya vizuri kaitaifa ktk masomo ya arts nimebaini mbali na kusifiwa kuwa zimefanya vizuri lakini hakuna ufaulu wa GRADE "A"
Mfano...
Habari wana jamvi naomba msaada anayeifahamu iyo kozi tajwa hapo juu ubora,udhaifu na application zake kwa kujiajiri na kuajiriwa. Natanguliza shukrani
1)eti kuna kitu inaitwa ordinary diploma in primary education? namaanisha huyu awe mwalimu wa msingi lakini awe na diploma.
2) ipi bora kati ya grade A na hiyo ODPE ?
3) vyuo vinavyotoa odinary...
habarini wakuu?natumai mu wazima.kama kichwa cha Uzi kinavyojieleza.Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu,tahasusi ya HGL.ufaulu wangu ni division 2.10(DCC).nilikuwa namba mnishauri course...
samahani
kwa anayejua principal pass kwa mwaka huu (2019/2020) zinahesabiwaje na inaanzia ngapi mpaka ngapi naomba anijuze.
A=?, B=?, C=?, D=? na kuendelea
natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.