Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naomba kuuliza kuhusu wanafunzi walio pangiwa kwenda vyuo kwa mwaka huu,nahisi wengi wao wamepangiwa kwenda kusoma course ambazo hawaja panga kusomea katika maisha yao wengine wanaweza wakawa na...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Wasalaam wanajamvi. Napenda kuwapongeza wanafunzi wote kwa hatua muhimu mliyofikia ya kumaliza vyuo,kidato cha sita na wengine mliokosa kuomba miaka iliyopita. Natoa huduma ya kuomba mikopo...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Fikiria majibu ya F6 yametoka 11.07.2019 lakini TCU bado hawajaweka Admission Guidebooks hewani. Pia walifungua dirisha dogo kwa waombaji waliomaliza masomo miaka ya nyuma lakini hakukuwa na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
JAMANI MSAADA WA KIMAWAZO NIFANYEJE,NINAFANYA APPLICATION BUGANDO KWA LEVEL YA BACHELOR DEGREE LKN NIMEKUTANA NA CHAGAMOTO,MWANZO SYSTEM ILINAMBIA NIKO QUALIFIED FOR APPLICATION KWA JUMLA YA POINT...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wanajukwaa habarini za jioni, kw heshima na tadhima naomba niangalizie vyuo kwa coz ya 1. Early Childhood edcn ktk mikoa ifuatayo ARUSHA,DSM,MWANZA,tu. 2. HRM=MWANZA,ARUSHA,UDOM,tu 3...
0 Reactions
0 Replies
371 Views
Alfred Thompson Denning Facts Lord Alfred Thompson Denning (1899-1999) was a Populist English judge whose career spanned 37 years After one year at Oxford, Denning was called to military service...
0 Reactions
1 Replies
730 Views
Jmn mamboz, naomb kuuliza nina ndugu yangu kasoma VETA assistant lab sasa amemaliza ni vyuo gan au college gan zinatoa diploma yake tafadhali nisaidieni
0 Reactions
1 Replies
563 Views
Jamani nimekosea kujaza mwaka was kuzaliwa nacte application naweza chaguliwa kujiunga chuo msaada kulingana na uzoefu wenu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari humu Jamani nauliza kwa waombaji wa mikopo nimeskia issue ya kupita kwa wakili (kama sikosei) sijajua vizuri kwamba ni kuhakikiwa nini naombeni ufafanuzi tafadhali hili linanichanganya...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
"Mwanangu sikwambii uache kusoma au uache kazi lakini ukikutana na Fursa nzuri usiiache kamwe." "Mwanangu utamaliza Chuo baada ya Miaka 25..." Jumla ya ada yako tangu unaanza shule mpaka...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Amani iwe kwenu wapendwa, nilikuwa na malengo ya kuanza masomo yangu ya elimu ya chuo kikuu mwaka huu lakini kutokana na matokeo yangu na kuongezwa kwa alama za kujiunga na chuo kikuu nimekosa...
2 Reactions
140 Replies
23K Views
Habali wadau Kama kichwa cha habali kinavo sadiki nitashukuru sana nikipata hicho kitabu. Ni hilo tu wadau.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wana jamiiforums, kwa wale waliomba hizi scholarships za MASTERS STUDIES IN EMBEDDED AND MOBILE SYSTEMS (EMoS) AT THE NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTE OF SCIENCE AND...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna dogo wa shule ya msingi ameniuliza nimwabie kwa kingeleza swali lisemalo "niwangapi kuzaliwa?".Wakuu mm university student lakini nimebaki najiumauma simnajua tena lugha ya malkia hii...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa mliopotezaga vyeti hii inawahusu
0 Reactions
0 Replies
718 Views
Nimehitim kidato cha nne 2018 na nimechaguliwa combination ya CBG ,, na mm ndoto zangu ni kusoma PCB ,Je naweza kubadl combination nikifka shulen .... results Phy _c Bio_c Chem_c Math_d Hist_c...
3 Reactions
51 Replies
10K Views
*NOTES SOFTCOPY* JIPATIE NOTES NA *VITABU* VYA MASOMO YA SEKONDARI FORM *ONE –SIX* SOFTCOPY O-LEVEL NOTES – *TSH 1,500/=* (SOMO MOJA KIDATO KIMOJA) A-LEVEL *NOTES –BOOKS* *TSH 3,500/=* (SOMO...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu habran vigezo vya kisom it ni vp kwa ngazi cheti??
0 Reactions
0 Replies
538 Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote muwazima. Naomba Alie wahi kuagiza gari kutoka nje ya nchi atupe muongozo. Kuna jirani yangu baadae ya kujichanga siku nyingi ameamua aagizie range Rover...
0 Reactions
1 Replies
656 Views
Mimi ni kijana nina shahada ya Petroleum (Oil and Gas) Chemistry nimeamua kujitoa, nataka kufungua kiwanda cha kuzalisha mafuta ya diesel. Sasa nahitaji watalaam wengine kama mimi tuungane juu ya...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom