Habarin ni matumaini yangu kua wazima .Ninahitaji kupata msaada mimi ni muhitim wa bachelor ya education katika mizunguko yangu nmepata nafasi ya kwenda kusoma masters china lakin katika kozi ya...
Baada ya dirisha la maombi kufunguliwa mnamo july mosi 2019.
Milango iko wazi kwa yeyote atakayehitaji kusaidiwa kufanya maombi hayo akiwa mahala popote pale.
mawasiliano ni 0789 805 698...
Hii ndiyo orodha ya vyuo vinavayotambulika serikalini. Vyuovisivyokuwemo katika orodha hii ni feki, hivyo jamii inatahadharishwa kuwa makini.
Baadhi ya vyuo vinavyosimamiwa na VETA vimekuwa...
Habar za humu ndani wakuu....
hiv ukiambiwa kigezo cha kusoma bachelor ya artechture ( UDSM )
wameandka lazima uwe na "two principal pass in chemistry,biology,physics,geography,or fine arts...
Nimeshakamilisha process zote hadi kusubmit form za kumbea mkopo online but kuwenye kipengele cha kuprint information zangu full package nikiclick inakuja blank webpage, nini chakufanya ili...
wakuu habari
nlikua naomba mwenyewe joining instruction ya Tanzania public service collage -TABORA course ni BASIC TECHNICIAN CERTIFICATE IN SECRETARIAL STUDIES chuo kipo tabora.
Ninaye rafiki zangu wamechaguliwa geomatic na geoinformatics ardhi university je hizi kozi ndo zikoje,zinahusika na nini,wanaajiriwa WAP,je mkopa wanapataga na je ugumu au urahisi wake ukoje...
Nimemaliza kidato cha 6, nahitaji udhamini wa kimasomo. Nahitaji kusoma diploma in clinical officing.. Ufaulu wangu ni
Biology-C
Chemistry-C
Physics-C
Basic applied mathematics-B
General studies-D
Habari zenu wakuu?
Natafuta mtu anaweza kuniandikia business plan ya uhakika kabisa
Naomba unitafute pm na maelezo mengine yatapatikana huko
Thanks in advance
Moja kwa moja kwenye topiki...
Ninafikiria kujiunga na kusoma Law School of Tanzania. Hata hivyo nilikuwa na uhaba kidogo kifedha hivyo ninafikiria kuomba mkopo kutoka Bodi ya Mikopo. Je, Bodi ya...
Wana Jf naomba kuuliza jamani hv kwa wale walio maliza,kidato cha nne na kuchaguliwa moja kwa moja kwenda chuo kuna uwezekano wa kupata mkopo
ASANTEN PIA NATEGEMEA MAJIBU MAZURI [emoji120]...
Ningependa kufahamiswa kuhusu suala la uhakiki,kabla rita system haija collapse kuna wale ambao tulishahakiki na nakala zetu za vyeti tulipata.
Je baada ya system yao kuharibika je na sisi...
wakuu habari zenu.kwa wale mliofanikiwa kutuma uhakiki wa vyeti RITA.mimi nna kama week 2 nmetuma vyeti.lkn cha ajabu nkingia kwenye account yangu inaandka no record found ila wakat natuma...
habari zenu wadau natumaini wote muwazima you mwenye kuifahamu shule ya white lake anieleze bei zake,ufaulu wake Na mengine nnayotakiwa kuyajua kabla sijajiunga pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.