Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Samahani Wakuu nmechaguliwa kujiunga na chuo hicho cha tpst tanga,kwa yeyote anae jua mazingira,ya chuo,anisaidie na je ni vyema nkae hostel au nkapange geto tu MASAADA JAMANI [emoji120] [emoji120]
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta wanapofundisha operator wa vijiko,grader, focal lift, na mitambo mingine
0 Reactions
1 Replies
2K Views
[emoji1]
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za Jumapili wana jamvi.. Naombeni msaada kwa mwenye ujuzi juu ya hili. Nataka nisome Diploma ya Clinical medicine mwaka wa masomo 2019/2020 na vigezo vyote vilivyopo kwenye Nacte quide...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari wana Jf,kwa mwenye uelewa juu ya degree tajwa hapo juu,vipi market yake baada ya kuhitimu,na kazi zake ni maeneo gani...natamani mdogo wangu asome lakini mimi siifahamu,msaada tafadhari...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kuambiwa chuo hicho kipo sehemu gani na kama ikiwezekana naomba contact nimejaribu kwny internet sijapata.. pia mwenye kujua mazingira yake yapoje anijuze tafadhali,mazngira yake ya...
1 Reactions
21 Replies
33K Views
Habari wadau wa humu, Tuambiane ukweli tu Tatizo la ajira lipo ila tatizo la jira linaweza kuwa baya zaidi endapo msaka ajira atachagua na kusoma kozi ambayo haina soko kwa wakati husika ama...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
nataman waruhusu maana kama kusubir nimesubir miaka mingi na ruhusa sha pataa!
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Wadau naombeni msaada kwa yeyote aliyesoma au kufahamu chuo cha amo tanga
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Kama ingetokea siku zimerudi nyumaaa na mimi natakiwa kuapply kozi ya kusomaa chuo haswaa kwa upande wa engineering basii ningechagua hii Geomatics/Surveying Engineering ...ilaaa ts too late. ...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Ninae mdogo wangu anasoma HGL Sasa ananiomba ushauri aende coz gan after there ambako ni rahisi kunufaika na elimu yake? KARIBU KWA MANI
0 Reactions
1 Replies
725 Views
Nimeingia kwenye online application system ya IFM na kutengeneza account lakini baada ya kumaliza kutengeneza nikapewa option ya ku-login ili niendelee lakini kila nikijaribu kulogin...
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Wakuu Habari za muda huu. Na mdogo wangu kachaguliwa ordinary diploma in forensic sciences. Naombeni kujua zaidi juu ya hii kozi.
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Naomba ushauri wale ambao mlishapitia nianze na masomo gani,nataka kufanya Mawili November Maana naambiwaga hii ligi kama hujajipanga hutoboi Naombeni na technic za kusoma pia toka nimehitimu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Baada ya muoongozo wa maombi ya mkopo kutolewa na Bodi na hatimaye dirisha kufunguliwa. Sasa Ile huduma ya kusaidiana kufanya maombi ya mkopo imerudi mlango upo wazi kwa wanafunzi na wazazi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kwa wale ambao walipita UDSM miaka michache iliopita naamini wanamfaamu vizuri huyo jamaa kwani kwa somo la communication skills (CL) ni lazima usome regardless unasoma nini,duh jamaa alikua...
1 Reactions
17 Replies
11K Views
Hv jaman serikalini wameanzisha Elimu ya awali na waalimu waliosomea hzo fani hakuna kwa nn wasingewaajiri hata waliosoma private wawasaidie watoto jaman
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Salaam wanajamvi. Nilijifungua kwa operation wiki4 zilizopita (ya mlalo chini) ila mpaka leo bado hapajafunga japo hapaumi, wiki hii kuna sehemu palikuwa panatoa maji kidogo sana ila tangu jana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari, Ninae mdogo wangu kamaliza form 4 kafaulu kiasi, Serekali imemchagua akasomee ualimu Ila mi napenda aende A level michepuo ya PCB au CBG. Naomba mwenye anajua shule za private za...
3 Reactions
73 Replies
15K Views
naombeni kwa mwenye majibu anijuze juu ya hili ?
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom