Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Msaada tafadhali kama kuna namna nyingne ya kuingia kwenye akaunti ya uhakiki rita anisaidie maana mara ya tatu sasa nafanya hili zoezi...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
iv huu ndo utaratibu gani kila chuo mwaka huu kina application fee yake kwa wale wanaoomba bachelor degree,CUHAS[bugando] application fee Tsh 30000,kcmuco[kcmc] application fee Tsh 50000,MUHAS...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Karibuni UDOM, kama una maswali uliza nipo kuwasaidia kupata mwongozo..
1 Reactions
32 Replies
5K Views
nataka nisome chuo cha tajwa naomben ushaur nifanyeje ilkujihakikishia nafasi?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu hbrn,nilitaka kujua why in school we not taught money??
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Nimeandaa notes za physical chemistry kwa ajili ya kidato cha tano na sita kwa kushirikiana na wenzangu tuliomaliza nao chuo kikuu cha Dar es salaam. Bahati nzuri kazi hii imepitiwa na idara ya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
naomba kuuliza alfa gemz wamesha anza udahili wa watahiniwa wa kidato cha 5 kwa muhula wa masomo wa 2019/2020? na je, ada yao kwa mwaka huu ni sh. ngapi??? na je, wana dahili wanafunzi wa comb za EGM?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dewji received his primary education in Arusha at the Arusha Primary School and continued his secondary education at the International School of Tanganyika (IST) in Dar es Salaam, Tanzania.[10] In...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamiiforum, nimepangiwa shule ya sekondari Budalabujiga, iko H/shauri ya wilaya ya Itilima mkoani Simiyu, anaeifahamu pleaae naomba anijulishe kuhusu usafiri kutokea Dar...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Igweeeeeeeeeeeeeee Salamu wana JF wote Kuna jambo linanitatiza sana kichwani nimeona niwashirikishe na nyie nipate maoni yenu kidogo Mimi ni kijana mdogo tuu niko bado nahangaika na elimu ya...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
Kwenye online application system ya udsm postgraduate ucourses nimekamilisha kila kitu na kuambatanisha kila kitu zikiwemo data na emails za referees. Tatizo, email za udsm zenye referees' forms...
1 Reactions
0 Replies
862 Views
Wakuu naomba kufahamishwa kama kweli uhamisho kwa waalimu umefunguliwa maana kuna mtu anasema eti toka hii June mosi 2019 wameruhusu mauhamisho ni ya kweli haya?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wadau wa NECTA toeni ufafanuzi Nimepata taharifa kutoka kwa mwanafunzi 1 ratiba mpya ya necta kidato cha4 2019,hawajaweka somo la elimu ya dini ya kiislamu pepa na2. Hii ni utaratibu mpya au? Km...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwani shule ya st joseph ilioko ilala imeanza udaili wa form v na ada huwa kiasigani
1 Reactions
0 Replies
562 Views
Nimejaribu kupitia mwongozo wa Bodi ya mikopo ya elimu ya juu nkaona ili shirika kwamba kama unatoka familia ya kimaskin yan iwezo wa chini basi uambatanishe namba ya TASAF naomba kwa anaejua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa yeyote aliye nayo softcopy yake naomba anisaidie kuituma hapa hapa katika huu uzi... natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Wana Jf naomba kujuzwa sehemu ninayo weza soma certification ya microsoft MCSA. Natanguliza shukrani zangu.
0 Reactions
1 Replies
848 Views
JOKAMEDIATZ ONLINE CAFE Kwa wahitimu wa kidato cha sita pamoja na diploma Jokamediatz ni mtandao wa wanafunzi unaowaunganisha wanafunzi wa vyuo vyote tanzania. Pia Jokamediatz inawasaidia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Msaada jinsi ya kuapply chuo china kwa scholarship
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Back
Top Bottom