Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Wadau kama mada ilivo hapo juu,nikiingia nacte katika application online nakutana na category moja tu ya HEALTH AND ALLIED SCIENCE sasa vipi kwa zile kozi zingine tofauti na hio naweza apply...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Tangu kilipoanzishwa tu kimekua na changamoto nyingi zikiwepo usajili na kutofata utaratibu wa Tanzania. Kwa waliomaliza 2013 rudi nyuma hawatoi transcript. Baadhi ya couruse zao hazitambuliki...
1 Reactions
23 Replies
11K Views
Microsoft Excel ni Program ya kimahesabu inayotumika kuhifadhi data katika muundo wa nambari, maneno, grafu na chati. Microsoft Excel inatumika katika makampuni biashara na katika taasisi...
5 Reactions
4 Replies
7K Views
Habari wanajukwaa Nina mtoto wa kike mwenye umri wa miaka mitano(5yrs) kutokana na pilika pilika zangu za kibiashara kutotulia sehemu moja,je umri wake unafaa kumpeleka shule ya boarding...
1 Reactions
197 Replies
15K Views
Habari zenu wana jamvi natumaini wote ni wazima. naomba msaada Kwa anae jua wapi ninaweza kununua Kitabu cha THINK AND GROW RICH. itapendeza mkinipa na bei yake.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu samahan kwa usumbufu Je inawezekana nikahamisha mkopo wangu kutoka bachelor kwenda diploma? Maana nilipata kozi ya bachelor lakin Naona haitanisaidia mbeleni hvyo nahtaji kurudi nianze...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Anae kijua chuo cha TANZANIA PUBLIC SERVICE CAMPUS YA TANGA Naomba anisaidie kujua mazingira yake ya shule na mazingira ya hostel plz msaana nko serious sana.
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Karibuni vijana wote mnaotaka kuomba vyuo mwaka huu. Kuwa free kuuliza chochote kile kuhusu fani unayotaka kusomea wapo wajuzi wengi humo JF wa kila fani. Hizo chini ni Guidebook zitakazokuongoza...
3 Reactions
110 Replies
69K Views
Habari wakuu? Niende kwenye mada, Hivi form six aliyesoma HGE chuo kikuu atasoma coz gani? Natanguliza shukurani zangu kwenu maana nategemea kupata majibu mazuri.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
habari zenu wadau natumaini wote muwazima you mwenye kuifahamu shule ya African schools iliyopo tabata anieleze bei zake,ufaulu wake Na mengine nnayotakiwa kuyajua kabla sijajiunga pale
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada nimefungua account ya maombi sua nimefuata taratibu zote wakanipa control number nikalipia. Baada ya hapo nika log in lakini ile dashboard inasoma 2018/2019 sasa naomba...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
HABARI WANA JUKWAA, POLENI NA MAJUKUMU!! Mimi ni mwanafunzi wa kidato cha nne mwaka huu 2017, dhumuni la thread hii ni kuwa naomba kujua jinsi mitihani ya taifa ya kidato cha nne inavyosahihishwa...
1 Reactions
10 Replies
6K Views
Ukiacha Dip in school and Cert in school inspection-bagamoyo na mwanza,je kuna utoaji wa degree?Na chuo gani?
0 Reactions
13 Replies
17K Views
Habari wana JF, Naomba kufahamishwa kuhusu Geology na ajira zake zimekaaje kwa ujumla
0 Reactions
0 Replies
832 Views
Poleni na majukumu Wana jukwaa. Nahitaji ushauri jaman nimemaliza form six pcb mwaka jana matokeo yako hivi P-E C-D B-C Mawazo yangu yalikuwa nikasome biotechnology & laboratory science lakin...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Msaada wakubwa zangu. Mdogo wangu yupo darasa la saba wa miaka kumi na mbili ana uwezo mkubwa lakini nahisi umri wake ndio tatizo maana hafanyi vizuri sana. Je inawezekana?na kuna gharama yoyote?
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Hbr wa jf,napenda kujua km kuna MTU aliefanya appl za bachelor za tia on line anijuze maana mi najaribu kujisajir system km inazingua
0 Reactions
2 Replies
966 Views
Mimi ni Mwalimu wa ngazi ya stashahada, mitihani wa kidato cha sita nilipata daraja la tatu yaani division 3 ya point 15, sasa kwa hali ya sasa ni kwamba siwezi kupata nafasi wakati nina principle...
0 Reactions
24 Replies
8K Views
[emoji456][emoji456] [emoji871] *SHULE YA SEKONDARI YA ST.MATTHEW DAR ES SALAAM WAMETANGAZA NAFASI ZA KAZI ZA WALIMU WA MASOMO YAFUATAYO* [emoji736]Basic mathematics [emoji736] Pure...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada wapi napata masters ya international relations bongo land
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom