Habari za majukumu ndg zangu,poleni na majukumu pia,naomben mnisaidie hapa ,kuna ndg yangu amechaguliwa chuo cha ualim kasulu,tatzo likaja kwenye kujaza taarifa tukakosea jina LA shule ya...
Wakuu hivi karibuni niliamua kupada zile daldala zinazopita ktkt ya chuo kikuu udsm.
Nikiwa siti ya mbele nilikuwa nawafanyia usahili vijana ninaowaona wakirandaranda maeneo ya chuo.
Wengi...
Heshima mbele wadau,
Najua hapa jamvini kuna manguli wa kila ainaHivyo basi napenda kuomba msaada wako/wenu kujaziwa hiyo questionnaire kwenye link hapo chini.
Hii ni kwa maajili ya masomo ya...
Samahani wakubwa nilikuwa naomba kufahamishwa je na matokeo Yangu haya ya form four nikienda chuo nitaanza kusoma Kwa ngaz ya cheti au diploma
Engl-C
Hist-C
Kiswahil-D
Geography-D
Biology-D...
Naomba kujua orodha ya vyuo vikuu vinavyotoa shahada za masuala ya gesi an petrol kwa Tanzania na pia kama kuna waliowahi somea fani hiyo kwa hapa tanzania.
Asante.
Habar wadau: Mdogo wangu alipata Scholarship ya Masters katika chuo cha "NYU WAGNER"
Wakataka Recommendations tukafanya kila kitu, baadae Familia tukastuka hivyo tukaona its better to Confirm...
Kama wewe ni mwanafunzi au una ndugu au jamaa anahitaji kufanya maombi ya mkopo karibu sana napatikana MKOLANI JIJINI MWANZA... Nafanya kwa wakazi wa Mwanza na nje ya Mwanza (mikoa yote Tanzania...
Kutokana na janga la vijana wengi kumaliza vyuo na kukaa nyumbani bila ya ajira wala uwezo wa kujiajiri, tatizo kila mdau anasema tatizo ni mfumo wetu wa elimu. Mimi pia nakubaliana nao.
Sasa...
Habari za saizi?
Leo ningependa kila mmoja ataje topic yoyote na ya somo lolote
Ambayo ulisoma kwanzia darasa la 3 mpaka form 6
Na mpaka leo haujajua ni lini utaitumia katika maisha na...
Igweeeeeeeeeeeeeee,
Wakuuu Kuna hizi scholarship za watumishi wa umma mofcom maombi yake yanayopitia utumishi zilizokuwa zimefunguliwa mwezi MAY
Je scholarship hizi zina usaili (interview) ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.