Wakuu Habari za Usiku.
Natamabi kusoma Masters open University.
Nimetembelea website yao na nimepata some information.
Naomba kujua njia ya kusoma na pamoja kama kuna mtu ana experience anipe Real...
Natumain ni wazima wa Afya,
Dhumuni la Uzi huu ni kuwashauri walio soma PCM advance na wakafaulu vizuri,Basi wasiyumbishwe au kukariri kozi kama civil,computer,Telecomunication, nazingine...
Habari wana jf ,ningeomba kujua kama mtu uli disco chuo na ulikuwa na mkopo ,una kaa muda gan kuomba tena mkopo na chuo? Na je taratibu za mkopo zinakuwaje na chuo unaomba tena? .ahsanteni
Hapo awali vigezo vya kujiunga na uuguzi ngazi ya cheti lilikuwa linafanana na kozi nyingine za afya kama maabara,Utabibu,ufamasia,Miozi,n.k ni vigezo ilikuwa ni ufaulu wa alama D katika masomo ya...
nina mdogo wangu kamaliza form six pgm kapata division ya 8 anapenda kusomea urubani kwa apa bongo kozi za ulubani zipoje na bei zake kwa anaejua plizz matokeo physic B math B geo D
Nina physics E chemistry E na biology C, naomba msaada ni course ipi naweza soma upande wa afya katika ngazi ya degree. Tafadhali naitaji msaada wa mawazo.
Habari zenyu!
Wiki kadhaa zilizopita, tulimsikia mbunge mmoja bungeni akizungumzia mstakabali wa elimu yetu Tanzania, Sote tunafahamu kuwa Elimu yetu inatumia miaka mingi mpaka kupata ajira ama...
Mwanangu amechaguliwa kutoka Alliance Girls Mwanza kusoma HKL kidato cha tano shule ya Kisimiri high school iliyoko Meru mkoa wa Arusha.
Binafsi sikuwahi kujua kama kuna wilaya ya Meru ila najua...
Naomba kufaham ni course gan naweza kusoma inayoendana na hyo comb ya HGE?msaada kwenu jamen niko njia panda kbsa, ushauri wenu ni muhmu sana kwangu kwani utanifnya kuwa na chaguo zuri
Habari wakuuu poleni na majukum ,
Naombeni anaetambua juuu ya hizi mofcom scholarship za China ukisha fanya application kama huwa Kuna usaili (interview)
Natanguliza shukrani za zati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.