Naomba kufahamishwa udahili kwenye vyuo vya afya mwaka huu najua unaaza 15/may Ila tatizo langu sijui ndio tarehe ya kuanza kutuma maombi vyuo ni au? Tafadhali saidia
Salute kwenu wakubwa!
Nahitaji kufahamishwa namna ya kutambua vyeti feki hasahasa vyeti vya O level na A level.
Waungwana niko serious na nategemea msaada kwenu maana napata changamoto...
Habari za saizi WanaJF
Baada ya matokeo ya kidato cha sita kutoka,Nina dogo alichukua HKL na kwa balaka za Mungu katunukiwa Div 1.9 yani
History-D
Kiswahili-B
English-C
Gs-E
Asa kwa ufaulu huo...
Habari za humu wana jf....
Mbona mwaka huu vyuo vinavoruhusu kufanya udahil kada ya afyya ni vichache sana alafu pia ni government pekee au kuna sehem nakwama
Wakubwa natumai mko cool. Kuna dogo mmoja kaniambie leo asubuhi post za suggestions za shule zimetoka.Cha ajabu waliopiga 4 ya 26,27 wamechaguliwa. Wana jf kuna ukweli juu ya...
I'm Studying Procurement and Supply chain management.
Currently need to conduct a research as part of my study.
I never done any research before. Looking for advice, knowledge.
1. Research...
Sorry ivi hua GPA kwa diploma wanakua wanachukuaga GPA ya semester ya mwisho tu au hua wanachukua GPA ya semester one plus semester two divide by two au hua inakuaje , au wanafanyaje kupata GPA...
Kuna auncle wangu mmoja alimaliza form six mwaka 2013,alisoma PCB,matokeo yake yalikuwa PHYSICS (S) CHEMISTRY (E) BIOLOGY (D), alipata nafasi ya kuajiriwa sehemu flani hivi, akasema ataenda kusoma...
Dogo amezngua fom six ila fom four alijitahd kidogo ana div 2:19 na fom six ana 3:16 naomba mnsaidie kumshauri yy alkua ana malengo ya food science,food processing engineering na medical lab
Na wenye uwezo wa kutufafanulia haya tunaomba ufafanuzi...
New Government Salary Scales: Approved.
TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/-
TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/-
TGTS...
Habari zenu wana Jf,
Naombeni ushauri wenu wana janvi, kuna dogo ana div 2 ya 11 Bios C, Chemia C, Physics E na Bam E.
Awali alitamani sana kwenda kuchukua degree ya udaktari au Pharmacy, ila kwa...
Kwanza niwapongeze wote mliofaulu, na nawaombea mfike mbali na elimu yenu.
Pia si kwamba hatupendi usumbufu wenu, ni haki yenu kuuliza, ila sasa kila mtu akiuliza habari za uwezekano wa kwenda...
Nalisema bila kupepesa, Kisimiri haiwezi kuizidiMarian. Tungelikuwa kwenye just state, just education environment, tungelichukua kumi bora kutoka kila shule , kumi kati na kumi mwisho kila shule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.